Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Dar ndio alituna jina Tanzania na pia Sir name yake ndio imeunda jina Dar es Salaam.
R.I.P
View: https://www.instagram.com/p/DGxhMTOIEzM/?igsh=MWNndWdvMDBic2JjMw==
Unakuta hata kwenye Vitabu vya historia hawapo ila wamejiweka Wanasiasa wapuuzi wapuuzi tuu wasio na maana.Pumzika kwa amani Muasisi.
Kwanini watu wa namna hii tunafahamishwa habari zao mara nyingi pindi wanapo aga dunia ?
Ni vema watambulishwe public kwa uthubutu wao unao acha alama inayoishi katika nchi wakati wote wa uhai wao na hata baada ya.
Waandishi na wenyetaaluma ya habari, Makala zenu pia ziangazie watu kama Bwana Dar. Historia ya Taifa itakuwa hai.
Hov.
Sahihi sana. Hapo kwenye Mtaa ni Moja ya Legacy reflectory Bar makini.Unakuta hata kwenye Vitabu vya historia hawapo ila wamejiweka Wanasiasa wapuuzi wapuuzi tuu wasio na maana.
Huyo alitakiwa apewe hata mtaa
Alishahojiwa na BBC kitambo na kuna Uzi humu unaeleza suala hiliNauzee wangu wote huu, sikua najua nani alie pendekeza jina la TANZANIA.
Inshaalh mungu aiweke roho ya huyu mja, mahala pema.
wa ukayeApumzike kwa amani Mwana Morogoro mwenzeru
Ndiyo utamaduni wetu. Hata wanaharakati, tunawajua wachache tu. Kuna watu kwa makusudi wamefunikwa.Mbona hii sijawahi kuiona kwenye historia yetu
Duuuh unacheka tenawoyoooooooooooooo
jamaa alijipendelea sanaDuuuh unacheka tena
Mfumo Kristo.Mbona hii historia haipo wazi,Kumbe katika herufi za Tanzania kuna Iqbal na Ahmadiya? Aisee
Halafu kuna watu wanalalamika mfumo kristo,ingekuwa jina la Mgalatia na kanisa analosali hapo ingekuwa keleleMfumo Kristo.