Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,404
- Thread starter
- #101
Mimi nashangaa sana Lemutuz unavyojibizana nae! Mi kwa kweli naona mwanaume unatakiwa unyamaze tu! Coz ukijibizana nae unaonekana nawe kama yeye tu
Naombaimjibie hili mi nilivyomsoma LE bilionea ni kamakumpa ushauri kwamba kupitia yeye watajifunza mana watoto wengi wa shule hawachelewi si wataona ni jambo la kawaida.JAMANI TUKEMEE KWA PAMOJA MANI NI ZAIDI YA PEPO MCHAFU!!