Mbutananga: a sad story to tell kimahusiano

Hii story nilikua naitafuta sana nijue kilichotokea ,kumbe ndo mambo yalikua hivi aiseee
Yeah
Japo mwanaume anadai alikuwa controlled
Lakinu ukweli mwauame malaya au asiyempenda mke wake huwa akiulizwa alipo anadai anakuwa controlled
Mwanamume alishamtoroka huko huko UK haha
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
20???? Kwa kazi gani sasa aloifanya nimpe hela yote hiyo, aisee kumbe kuna wanaume wanateseka, ndo maana hawataki ndoa
 
Huyu mbuta alikuaga na duka la nguo London
Basi akajaribu kubrand nguo zake Kwa kua Wana mitindo yeye mwenyewe, basi ilkuaga full vituko[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…