Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,347
- 5,986
Chaila na Were wote walikuwa wachezaji tegemeo wa kocha Lwandamina katika kikosi cha Zesco United kilichofika Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka huu kabla ya kutolewa na Mamelodi Sundwons ya Afrika Kusini iliyofanikiwa kutwaa taji hilo.
Na baada ya Lwandamina kuhamia Yanga, moja ya nafasi ambazo ameona zinahitaji marekebisho ni kiungo cha ulinzi na ushambuliaji na wachezaji sahihi kwa nafasi hizo kati ya wote aliokuwa anafanya nao kazi Zesco ameona ni Chaula na Were.Wakati huo huo watoto wa jangwani Yanga wamemalizani na kiungo fundi "kinda" mkabaji wa Mbeya city Raphael Alpha.