KITAULO
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,926
- 2,797
Unapojikuta ki-baby walker chako cha mkopo kimelivaa gari la waziri kwa bahati mbaya na kimsingi wewe ndiyo mwenye makosa, na hapo unaambiwa lazima kulipa na kesi juu.
Mkopo wa gari ndo kwanza bado unadaiwa 95%, kesi ya kujibu kutishia usalama wa waziri na kesi ya uharibifu wa mali ya umma inakuhusu, yani hapo lazima uhisi unamikosi kama yote.
Sasa shekhe unakutwa na hatwaree kama hii, hebu tuambiane kichwani utakuwa unawaza nini.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mkopo wa gari ndo kwanza bado unadaiwa 95%, kesi ya kujibu kutishia usalama wa waziri na kesi ya uharibifu wa mali ya umma inakuhusu, yani hapo lazima uhisi unamikosi kama yote.
Sasa shekhe unakutwa na hatwaree kama hii, hebu tuambiane kichwani utakuwa unawaza nini.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]