THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,055
- 4,695
Mbona kama gari la waziri wa Ulinzi??Hapo ni kamata...karibu na daraja la SGR...hiyo ajali imetokea cku anko lugola anaenda kwenye uzinduzi wa ufunguzi wa nyumba za magereza...ilibidi gari aiache hapo...ndio hivyo tena wahenga wanasema cku ya kufa nyani miti yote huteleza...kumbe hii mikosi ilimuanzia tangu morning...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app