Mbuzi anapofia kwa muuza supu: Ajali nyingine kama umelogewa vile!

Mbona kama gari la waziri wa Ulinzi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ah hakuna kuwaza unarara chini kama siyo mbele
 
Kuna siku nilikuwa natoka Gomz Mara kwa mbele nikaskia Paa jamaa kaivaa defender ya polisi wakashuka wote sasa chakusikitisha na cha kuhuzunisha defender nyuma ilikuwa ina kingo jamaa na kibaby walker chake bamber halifai, taa kule defender wala haijaumia popote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo cha kusikitisha ni kuambiwa umetishia usalama wa waziri au umekusudia kumzuru hapo usipoangalia lazima ugali maharage na nguo za orange zikuhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si bima wapo.
Ni ajali kama ajali nyingine,kwani hakuna aliyetoka nyumbani akasema leo lazima nipate/nisababishe ajali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…