Mbuzi choma

Mbuzi choma

mama dunia

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
420
Reaction score
84
Eti wanjamvi..nimuwekee nini mbuzi choma anogeee had nijisikie kweli nimemla..

Kuna chef mmoja nilimuamini nikamkodi aliweka weka vikorombwexo hakuvutia kwakweli...nipeni maujuzi tafadhali
 
Mchome kwa jiko la mchina weka na mafuta ya taa atakua mtamu sana na pilipili.
 
pitia dina marios.blogspot utapata pakuanzia
 
Back
Top Bottom