mama dunia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2011
- 420
- 84
Eti wanjamvi..nimuwekee nini mbuzi choma anogeee had nijisikie kweli nimemla..
Kuna chef mmoja nilimuamini nikamkodi aliweka weka vikorombwexo hakuvutia kwakweli...nipeni maujuzi tafadhali
Kuna chef mmoja nilimuamini nikamkodi aliweka weka vikorombwexo hakuvutia kwakweli...nipeni maujuzi tafadhali