Mbuzi ndio kifaa ninachotumia sana jikoni kwangu kwa sasa

Mbuzi ndio kifaa ninachotumia sana jikoni kwangu kwa sasa

Quetzal

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
6,343
Reaction score
10,799
Ukiachana na ile chopping board iliyopata mrejesho hasi.

Pia Kuna kifaa hua natumia Sana..kwa jiko langu...nacho Ni MBUZI..

sijui mbuzi kwa English inaitwaje.

Je, Wewe kitaa gani unatumia zaidi jikoni kwako?

IMG_20210309_191805.jpg
 
Umenikumbusha..huu msemo wa kukuna nazi...
Nlikua nawasikia makonda wakisema Sana Acha kukuna nazi...sikuwana jua maana Yake..
Kwani kuna maana tofauti zaidi ya hii ninayoifahamu ya Kuchubua nazi na ubao maalum?!
 
mbuzi really???

Hicho kinaitwa ""kibao chambuzi ""
Kibao kinachotumika kuchambua Nazi (chambuzi)
asa mbuzi anaingiaje apo au una Manisha Nini?
Asante Mkuu kwa kunifahamisha..

Sisi hua tunaita TU mbuzi... Au kibao Cha kukunia nazi...

Thanks for the clarification
 
Ukiachana na ile chopping board iliyopata mrejesho hasi.

Pia Kuna kifaa hua natumia Sana..kwa jiko langu...nacho Ni MBUZI..

sijui mbuzi kwa English inaitwaje...

Je Wewe kitaa gani unatumia zaidi jikoni kwako?

View attachment 1721194
Kule Tanga watoto wa kike udogoni huimba hivi
Mkuno wa nazi mkuno wa nazi unanipendezaaaa
Ukikunia huku wanipendezaaaa.., ukikunia kule wanipendeza...
Ukikunia hivi wanipendezaaaa, ukikunia vile wanipendezaaa....!!!

Halafu wenyewe wanashika nyonga zao na kuzichezesha huku na kule, mbele nyuma na kubinukabinuka...na wengine hufanya hivyo wakiwa wamekalia vibao vya mbuzi
 
Kule Tanga watoto wa kike udogoni huimba hivi
Mkuno wa nazi mkuno wa nazi unanipendezaaaa
Ukikunia huku wanipendezaaaa.., ukikunia kule wanipendeza...
Ukikunia hivi wanipendezaaaa, ukikunia vile wanipendezaaa....!!!

Halafu wenyewe wanashika nyonga zao na kuzichezesha huku na kule, mbele nyuma na kubinukabinuka...na wengine hufanya hivyo wakiwa wamekalia vibao vya mbuzi
Ntaenda Tanga kutalii..haiwezakani Duabi inishinde...hata Tanga kwa story za waty watanga...lazima nikwaone TU...wanafananaje
 
Back
Top Bottom