The king9999
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 384
- 937
sina uzoefu sana na jamii za mbwa, kwa mwenye uhitaji basi aje Pm , kwa details zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo mpaka 700k nakuendeleesina uzoefu sana na jamii za mbwa, kwa mwenye uhitaji basi aje Pm , kwa details zaidiView attachment 2949024
Nenda kwa mtu umuazime simu upige picha nzurii nzurii sawa mkuusina uzoefu sana na jamii za mbwa, kwa mwenye uhitaji basi aje Pm , kwa details zaidiView attachment 2949024
imnategemea na matuzo mkuu, hawa sio wa kuwalisha ugali na vichwa vya dagaa , lazima wapate minyooMm mzoefu huyo huwa tunagawa bure ndugu. Hamna kitu huyo. Ana minyoo. Ana mdondo.
Kwanza mbwa kachafu na nahisi anakula mabaki ya mtoa mada, hivi ashawahi kanyaga kwa vet?Anajuta kufugwa na ww.
Hahahahahaimnategemea na matuzo mkuu, hawa sio wa kuwalisha ugali na vichwa vya dagaa , lazima wapate minyoo
picha zingine nimeshawekaUngekapiga basi picha vizuri wapenda mbwa tukaone kama kanaendana na bei.
Ungeweka gender yake. Kama ni dume wateja wengi wa kike watagombania.sina uzoefu sana na jamii za mbwa, kwa mwenye uhitaji basi aje Pm , kwa details zaidiView attachment 2949024
hapana mkuu nimemuokota, alikua abandonedKwanza mbwa kachafu na nahisi anakula mabaki ya mtoa mada, hivi ashawahi kanyaga kwa vet?
gender ni maleUngeweka gender yake. Kama ni dume wateja wengi wa kike watagombania.
Vet wapi na wapi thed weld?Kwanza mbwa kachafu na nahisi anakula mabaki ya mtoa mada, hivi ashawahi kanyaga kwa vet?
jiandae na wateja wa kikegender ni male
Mleta uzi kaokota Mbwa.hapana mkuu nimemuokota, alikua abandoned
Wapo mikoa mikubwa mikubwa