Put down that caninepicha zaid hizi hapa , location mwanza
View attachment 2949041View attachment 2949042View attachment 2949043
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Put down that caninepicha zaid hizi hapa , location mwanza
View attachment 2949041View attachment 2949042View attachment 2949043
Sawa je ana mafunzo yoyote? Ana tabia gani? Hivi ni vitu muhimu vya kuweka kwenye tangazo bila kusahau jinsiapicha zingine nimeshaweka
Mimi nakushauri hizo picha ungezifuta kwanza. Halafu ungemlisha huyo mbwa hata kwa miezi miwili hivi, na kumsafisha vizuri ili apendeze!picha zingine nimeshaweka
kama asipotokea mteja ntakafuga hata mimi , nije nimuuze kwa bei kubwa zaidi.. hzo picha nimepiga soon baada ya kumpata , bado sijamsafisha unamuona hata alivyoMimi nakushauri hizo picha ungezifuta kwanza. Halafu ungemlisha huyo mbwa hata kwa miezi miwili hivi, na kumsafisha vizuri ili apendeze!
Baada ya hapo, pige tena picha na kuziweka humu jukwaani! Hakika utanishukuru.
sijajua historia yake ila inshort nimemuokota nadhan alipelekwa na majiSawa je ana mafunzo yoyote? Ana tabia gani? Hivi ni vitu muhimu vya kuweka kwenye tangazo bila kusahau jinsia
😂Ungeweka gender yake. Kama ni dume wateja wengi wa kike watagombania.
Umemuokota wapi huyu angekua Ulaya ana special treatment kabisa kuanzia chakula mpaka mavazi na anapendwa kuliko wanavyopendwa binadamu vimbwa vya vibibi hivi km wale waliorithishwa Billion 8 kule Japanpicha zaid hizi hapa , location mwanza
View attachment 2949041View attachment 2949042View attachment 2949043
Sabb ya kumuuza 300k ni ninipicha zaid hizi hapa , location mwanza
View attachment 2949041View attachment 2949042View attachment 2949043
Sasa kama umemuokota unamuuza kwa nini? Si umtoe kwa mtu atakayemuhudumia?hapana mkuu nimemuokota, alikua abandoned
300k hebu acha utani basi,sii bora ununue mbuzi au kondoo utapiga thupuuu😂sina uzoefu sana na jamii za mbwa, kwa mwenye uhitaji basi aje Pm , kwa details zaidiView attachment 2949024
Huenda kaokota katoto ka mbwa mwitu😁Mleta uzi kaokota Mbwa.
Sasa kama umemuokota unamuuza kwa nini? Si umtoe kwa mtu atakayemuhudumia?
imbwa kama manunu wa wemaMbwa au kimbwa?
mkuu angalia hiyo specie ukute hujawah kuiona tangu uzaliwe ,H
Huenda kaokota katoto ka mbwa mwitu😁
Unajua ana umri gani huyu mbwa?si ndio maana namuuza cheap sana , ungekua unajua bei yake mkuu ungenunua chap
mkuu , huyu sio kama mbwa koko wetu tuliowazoea wa kushinda majalalani, huyu mbwa unaish nae ndani, sio wa bandani300k hebu acha utani basi,sii bora ununue mbuzi au kondoo utapiga thupuuu😂
mnunulie wife wako mkuu
sijajua mkuu sababu nilikua simfugiUnajua ana umri gani huyu mbwa?