Mbwa jamii ya Rottweiller waua mwangalizi wao Dar

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani nifuge mbwa kwa ajili ya ulinzi alafu niishi kwa masharti magumu kiasi hicho eti kisa wana wivu! Kwani mbwa wa kufuga wameisha mpaka nikafuge wao
Masharti utafikiri unaenda kutaka utajiri kwa mganga wakienyeji
 
Sasa utajuaje kama nguo hii wameizoea?
 
Hahahahah mbwa ni domestic ila kuna breed sio za kufuga hasa hao Rotweillers na Pitbull. Hawafai kwa jamii zetu za kiswahilini swahilini ambako hakuna nidhamu.

Otherwise jiandae na msiba tena hao pitbull ndio balaa.
Vipi kuhusu bulldogs
 
Kama wanang'oa mpaka taa za gari hapo ndo watashindwa kukutafuna sasa.
 
Kuna watu huwa wanajitengenezea mabomu nyumbani
 
mi ninavyopenda kuwapa kisago mbwa, sidhani kama huyo akiniletea za kuleta ataenda hadithia mbwa wenzio kama kakutana na chizi zaidi yake, kitu siogopagi maisha yangu ni mbwa.
Umezoea kukutana na mbwa koko mkuu!!! Tena futa kauli maana wewe nikikuchanganya kwenye banda la pitbull mmoja tu, dakika tano nyingi ushakuwa kitoweo.
 
Nikiona Hivi nasikitika....au aina hii ya Mbwa ndo walimuuma na marehemu mzee Kingunge???
 
kweli kiongozi hawa mbwa sio wa kufugwa na raia wa kawaida ni hatari
 
Kwaiyo mtu ameshambuliwa wameita vikosi vyote ivo na vikafika bado wanamshambulia tu kweli tz hali imebadilika watu wako chap haraka now days
Me mwenyewe niliwaza sana hapo ila sikuelewa kwamba;

1. Walioitwa walikuwa chap sana kuitikia wito

2. Mbwa walikuwa wakishambulia mdogo mdogo (by degrees)

3. Jamaa alijitahidi kupambana nao saana hivyo pambano likachukua kitambo kidogo

4. Hao watu waliitwa kwa pamoja na wote wakafika kwa ujumla wao

5. Kila watu walioitwa walipambana kwa muda mdogo (dakika chache) tu na kusalimu amri

6. Kila kundi lililoitwa lilitumia utaalamu wao kuwadhibiti (japo mwishowe likashindwa) na ndio maana ikafikia kuitwa watu wote hao

Au ni vipi!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…