Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Na kadili anavyozeeka, ndivyo anavyozidi kuwa na ukali usio na maana!German shepherd ni mkali lakini mtiifu sana na anafundishika kirahisi, anapokea order mapema na hasau. Rott shida yake kubwa ni mgumu kufundishika na kigeugeu anaka kukumbushwa Mara kwa mara
Nami nimejifunza funza masuala ya hawa mbwa, na kufahamu baadhi ya mambo, kutokana na ndugu yangu kufuga, na kufanya biashara ya hawa viumbe. Nimemjuw huyo GS, Pitbul BB, RW nk. Kuna watu wanakuja kununua mbwa mkubwa, jamaa anachofanya ni kumwambia mteja jina la huyo mbwa, na kumkabidhi mnyororo, na kuondoka naye. Wakati mwingine, anatumwa kutoka mji mmoja mpaka mwingine, na mnunuzi anaenda kumpokea, akiwa kwenye box. Ila, cha msingi uwe unafahamu ku deal na hao mbwa, na ulijue jina la huyo mbwa.Mkuu nimekuelewa. Sasa labda nakuja kwako kununua GS au RW, Mimi ndio mara ya kwanza mbwa ananiona, hua mnafanyaje ili mbwa ambaye ndio anapewa mteja aweze kumzoea Siku hio.
**Mkuu kama hutojali kama utaweza kufungua thread kwa wale ambao tunapenda kufuga mbwa hao, mbinu, lugha za kutumia, vyakula, na mengineyo ya muhimu kwa aina zote za mbwa hao akina GS, RW, PB, nk
Uko sahihi lakini risk ni kubwa mno hasa ukikutana na jamii ya RW ambaye muda mwingi alikuwa anafungiwa ndaniNami nimejifunza funza masuala ya hawa mbwa, na kufahamu baadhi ya mambo, kutokana na ndugu yangu kufuga, na kufanya biashara ya hawa viumbe. Nimemjuw huyo GS, Pitbul BB, RW nk. Kuna watu wanakuja kununua mbwa mkubwa, jamaa anachofanya ni kumwambia mteja jina la huyo mbwa, na kumkabidhi mnyororo, na kuondoka naye. Wakati mwingine, anatumwa kutoka mji mmoja mpaka mwingine, na mnunuzi anaenda kumpokea, akiwa kwenye box. Ila, cha msingi uwe unafahamu ku deal na hao mbwa, na ulijue jina la huyo mbwa.
Fungia ndani mmoja.. mwingine mwache apige Doria ..,wa ndan akibweka ujue kuna hatari...jana vibaka wamewapa sumu mbwa wangu doberman, lakini nimewawahi kuwapa dawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ngoja tupambane na hawa koko tunawatunga majina eti simba [emoji23][emoji23][emoji23]
huyu ndio kama wa john wick?German shephered ndio mbwa intelligent kuliko wote. Huyu ndio ana akili timamu na msikivu.
mi nampenda uyu [emoji173] alivyo mdogo mdogoKwa company frenchbulldog ni wazuri sanaView attachment 1629024
Hapo kwenye dagaa, changanya unga wa dagaa na pumba ya mahindi then mpikie uji mzito utakuja kunipa habari yakeSisi tushazoea mbwa unamlisha dagaa, au unamuacha akasake. Sasa haya ya kulisha mbwa msosi wa supermarket sio yetu.
Sio Chihuahua? Coz hata wao wanawapenda ninyiHahaaa mimi napenda pet dogs warembo warembo
We jamaa...Yani nifuge mbwa kwa ajili ya ulinzi alafu nimnunulie na kitenesi cha kuchezea?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani nifuge mbwa kwa ajili ya ulinzi alafu nimnunulie na kitenesi cha kuchezea?
Wewe umepiga kina Bobi na Simba unajisifu umepiga mbwa.mi ninavyopenda kuwapa kisago mbwa, sidhani kama huyo akiniletea za kuleta ataenda hadithia mbwa wenzio kama kakutana na chizi zaidi yake, kitu siogopagi maisha yangu ni mbwa.
Umezoea kukutana na mbwa koko mkuu!!! Tena futa kauli maana wewe nikikuchanganya kwenye banda la pitbull mmoja tu, dakika tano nyingi ushakuwa kitoweo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
huyu ndio kama wa john wick?
5. French bulldog [emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1628820
Sasa mbwa anakaa kwenye kochi kweli atamlinda naani sasa?Kwa company frenchbulldog ni wazuri sanaView attachment 1629024
Ukiwa nae huyo utachoka kwa kucheka tu, they are very friendly[/QUOTE]weeeh nampenda kwelimi nampenda uyu [emoji173] alivyo mdogo mdogo
Sio wa ulinzi boss ni companion dogSasa mbwa anakaa kwenye kochi kweli atamlinda naani sasa?
Yani maswali fikirishi sana mkuu akitujibu ni tagMe mwenyewe niliwaza sana hapo ila sikuelewa kwamba;
1. Walioitwa walikuwa chap sana kuitikia wito
2. Mbwa walikuwa wakishambulia mdogo mdogo (by degrees)
3. Jamaa alijitahidi kupambana nao saana hivyo pambano likachukua kitambo kidogo
4. Hao watu waliitwa kwa pamoja na wote wakafika kwa ujumla wao
5. Kila watu walioitwa walipambana kwa muda mdogo (dakika chache) tu na kusalimu amri
6. Kila kundi lililoitwa lilitumia utaalamu wao kuwadhibiti (japo mwishowe likashindwa) na ndio maana ikafikia kuitwa watu wote hao
Au ni vipi!!?