Mbwa jamii ya Rottweiller waua mwangalizi wao Dar


Unampendea nini
 
Yaani niifanye familia kama mchepuko kisa mbwa inayo nipangia wapi pa kuonyesha mahaba kwenye mji wangu.

Sishauri wala sishauriki kufuga kiumbe mwenye tabia mbovu kama huyu
Hao hawataki mambo ya mahaba mbele ya macho yao watakutoa roho maana wanahisi ni dharau, mimi siku hiyo nimekaa kwenye bustani akaja mwenzangu kunikiss...nilishangaa jibwa limevunja banda linakuja kwa kuruka kimo cha mbuzi huku limekasirika haswa! Nilipambana nae akabahatika kuning'ata mkononi.
 
naomba mmoja mkuu. napataje. mdogo. nimkuze mwenyewe
 
Mimi ningeenda kuchukua petrol na kikombe, ningewamwagia natia kibiriti nione kiburi chao mbele ya moto.
 
Kukaa na mbwa kwanza ya kazi gani. Wanaweza kushambulia mtoto au watoto wakamdhuru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni aina gan ya mbwa nilmnunua kwa jamaa angu huko zambia halafu sjui ni jamii gan ya mbwa
 
Ha ha hao sio mbwa ni watu
 
Rottweilers are people dogs and are affectionate and loyal toward their families. They tend to follow their favorite person from room to room, so they are always within eyesight. They are good with children and other dogs, but should still be supervised.
 
Wacha nifuge Koko langu hapa likizingua napiga buti linahama nyumbani


Yaani mbwa nimnunulie matoy
 
Yule mwenye sifa ya kuua hadi Simba ni yupi??
Which dog can kill a lion?
Rottweilers

Rottweilers are highly intelligent, self-confident dogs and have a lot of energy. They can kill a lion very quickly. Their body weight ranges from 80 to 120 pounds and they are very active unlike dogs.
 
Which dog can kill a lion?
Rottweilers

Rottweilers are highly intelligent, self-confident dogs and have a lot of energy. They can kill a lion very quickly. Their body weight ranges from 80 to 120 pounds and they are very active unlike dogs.
Mkuu haya mambo ni rahisi kwa kupiga story ila balaaa lake ni zito, nakumbuka kuna siku nilitaka kumuadhibu Paka nikamfungia ndani kisha nikachukua fimbo aisee alinichenjia ilibid ni ghairi zoezi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo wanajua sura za kazi ni hatari kwa afya yao haaa haaa haaa!
Kwa ufupi hao mbwa si wakufuga kwa maisha yetu ya Kiswahili, wewe mwenyewe hauli vizuri, mara nyingine hauko nyumbani au ndiyo hivyo huna muda wa kuwaonesha upendo, kwa hoyo, lazima utakaribisha majanga nyumbani. Mfano, unamtoa Kijana wa Kazi huko mkoani alishazoea mbwa wa uswazi ambao anajitafutia chakula mwenyewe na mara nyingi hajulikani yuko wapi. Kwa hiyo, akija mjni na kukutana na mbwa kama ROTTWEILER lazima wataleta majanga kwake au mtu mwingine kwa sababu hatafuata masharti ya namna ya kuwahudumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…