Mbwa jamii ya Rottweiller waua mwangalizi wao Dar

😂😂😂 na usioneshe mahaba kwa mwanao mbele yake mbwa gani sasa uyu
Si ndo hapo sasa...huu ni mfugo au kisanga?

Kwa maelezo ya jamaa hapo juu inaonekana hivi viumbe si vya kufuga Ila binadamu wamelazimisha....eti ukichelewa kuwafungulia vaa nguo walizozoea wakati mi najua Mbwa hutambua Kwa harufu...kuna kitu hakipo sawa hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…