Mbwa jamii ya Rottweiller waua mwangalizi wao Dar

Mambo menginebana mbwa anamasharti kama nini apo bado unamlisha
Mbwa ni mbwa tu utafanya yote siku moja atakuchenjia tu
Hahahahah mbwa ni domestic ila kuna breed sio za kufuga hasa hao Rotweillers na Pitbull. Hawafai kwa jamii zetu za kiswahilini swahilini ambako hakuna nidhamu.

Otherwise jiandae na msiba tena hao pitbull ndio balaa.
 
Aiseee don't buy this dogs hawafundishiki Mbwa pekee mwenye akili hata ukae usafir ukae miaka 5 lakini siku ya kurudi ata vibe na wewe ni Germany Shephered kwanza hao Rotwailler wana Visasi sanaaa ukimchapa anahifadhi moyoni
 
Ungetupiamo walau tupicha twake ili siku hata kwa bahati mbaya akina kajambanani tukijakutana nao tujue tunajiokoaje
 
Kwa mwanao unaweza kuwa na stah, vip kama uko na wife alafu mko garden? Hahaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kesho yake lazima akurudishe kwa Muumba wako
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Aiseee.
 
Hao siyo mbwa ni mbwa mwitu hawafai kabisa
 
Hao mbwa ni moja ya matokeo ya mahangaiko ya binadamu kuzalisha viumbe vsivyo vya asili. "Tumezoea ukisema bandani, mbwa anaenda, huyu natakiwa nivae uniform anazozijua ndo nikamfungulie!?
 
Sasa na wewe jiandae mzee!


Sikutishi bali nakupa makavu
 
Kapicha mkuu ili nikiwakuta road nibadili njia
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hivyo ndio inatakiwa, kila baada ya 24hrs. Sasa hawa ambao wanahitaji mpaka breakfast ni shida.
Ntapata wapi muda wa kuhudumia mara mbilimbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…