Mbwa jamii ya Rottweiller waua mwangalizi wao Dar

Sasa na wewe jiandae mzee!


Sikutishi bali nakupa makavu
kwangun siyo issue ninao mwaka kama wa nane wakikaribia kuzeeka naandaa wengine, nawamudu hamna shaka
Ntapata wapi muda wa kuhudumia mara mbilimbili
Mkuu nadhani kuna kitu hujaelewa ndo maana nikasema ikiwa huwezi hayo masharti usige rott make ni sawa na bunduki ambayo tayari risasi iko chemba haitaki mzaha zaidi ya Ku engage safety pin. Siyo lazima ufage MBDA ambao huwezi kuwahudumia. Funga mbuzi au kondoo. Nimeleta hii mada ili watu wajifunze kwani kuna MTU Jana mida Kama hii alikuwa hai lakini kwa kukosa elimu sasa hivi yuko mochwari
 
Kwani mkuu nikivaa mavazi ya kunilinda na hatari mfano yale makoti magumu

mabuti miguuni halafu mikononi natia Gloves za maana,kichwani namalizia na Helmet

halafu nakua naenda wahudumia raia wangu,kuna shida mkuu kwenye mavazi yangu hayo

yani naingia bandani kwao nikiwa Full gwanda kama naenda Jupiter,si fresh mkuu FURY BORN

 
Tabu yote ya nini nyinyi waafrika.
Mnalinda vitu gani hadi mpate tabu zote hizo,kwani mna benki kwenye manyumba yenu.
Kuna jamaa mmoja naye anafuga mbwa wa staili hiyo sasa kila siku mida ya usiku kuna mlinzi huwa anaenda kumfungulia then asubuhi anamfungia na kuondoka.
Sasa siku hiyo mlinzi hakuja kumfungia asubuhi basi mke wa mwenye nyumba akatoka nje aende kazini La haula wala kuwata alivamiwa na huyo mbwa alimchakata miguu bahati yake mumewe alikuwepo ndani akawahi kumshika na kumfungia vinginevyo angemuua.
Sasa nikajiuliza hiyo adhabu yote ya nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…