Mbwa jamii ya Rottweiller waua mwangalizi wao Dar

Mbwa jamii ya Rottweiller waua mwangalizi wao Dar

Me mwenyewe niliwaza sana hapo ila sikuelewa kwamba;

1. Walioitwa walikuwa chap sana kuitikia wito

2. Mbwa walikuwa wakishambulia mdogo mdogo (by degrees)

3. Jamaa alijitahidi kupambana nao saana hivyo pambano likachukua kitambo kidogo

4. Hao watu waliitwa kwa pamoja na wote wakafika kwa ujumla wao

5. Kila watu walioitwa walipambana kwa muda mdogo (dakika chache) tu na kusalimu amri

6. Kila kundi lililoitwa lilitumia utaalamu wao kuwadhibiti (japo mwishowe likashindwa) na ndio maana ikafikia kuitwa watu wote hao

Au ni vipi!!?
Hahaahhaaaaaaa...
Itakuwa mbwa walikuwa wanashambulia mdo mdo huku wakisubiri vikosi zaidi!.
 
Me mwenyewe niliwaza sana hapo ila sikuelewa kwamba;

1. Walioitwa walikuwa chap sana kuitikia wito

2. Mbwa walikuwa wakishambulia mdogo mdogo (by degrees)

3. Jamaa alijitahidi kupambana nao saana hivyo pambano likachukua kitambo kidogo

4. Hao watu waliitwa kwa pamoja na wote wakafika kwa ujumla wao

5. Kila watu walioitwa walipambana kwa muda mdogo (dakika chache) tu na kusalimu amri

6. Kila kundi lililoitwa lilitumia utaalamu wao kuwadhibiti (japo mwishowe likashindwa) na ndio maana ikafikia kuitwa watu wote hao

Au ni vipi!!?
POINT to note:- Hakupambana bali alishambuliwa na kuangushwa chini kingeereza nitumie neno ( attacked and be mauled) Kampuni ya ulinzi kufika mapema inategemea walikuwa umbali gani na nyumba ya mteja wao ambako ndo tukio lilikotokea, walifika mapema na kujaribu kufyatua risasizipatzo tano hewani.
4. Hao watu waliitwa kwa pamoja na wote wakafika kwa ujumla wao:- hawakufika kwa pamoja kumbuka mtu wa kwanza kushindwa kuwacontrol mbwa ni handler mwenyewe ambaye ni mtunza bustani aliyewafungulia usiku, mmiliki wa nyumba baada ya kushuhudia tukio na kuomba msaada kwa kampuni ya ulinzi, kampuni ya ulinzi nayo ikashindwa na kuita polisi waliowapiga mbwa wote risasi, ( Technical know how)
Kifupi mimi nililenga kutoa elimu kidogo kusaidia wale wachache amabao wanamiliki ama wanampango wa kumiliki Rottweiler ni namna gani wafanye ili kudhibiti, nadhani maelezo zaidi ukihitaji utayapata polisi.
Na pia sikuwa eneo la tukio bali nilipigiwa simu na mtu aliyefika eneo la tukio na kwa kutambua ninafuga mbwa wa aina hiyo akataka kujifunza kitu kutokana na tukio zima. ila kwa utashi wangu nikajaribu kushare ninachokijua kutokana na hao mbwa kwa vile nimewatumia kazini kwa zaidi ya miaka kumi na kitu, na ninawafuga kwa zaidi ya miaka nane. nimekuwa wakizaa ninauza watoto na nawatumia kwa ulinzi. asante.
 
Unafuga mbwa kwa ajili ya ulinzi, matokeo yake wewe ndiye unakuwa mlinzi wake, maajabu haya!
Hata bunduki unanunua kwa ajili ya kukulinda matokeo yake wewe ndo unailinda, mbwa yuko kwenye kundi la silaha na kwa wenzetu Rottweilers tayari wametajwa kama mbwa hatari. Na ukishaona umeanza kushindwa kumcontrol na bado unamhitaji tumia muzzles
1605690273972.png
 
Hata bunduki unanunua kwa ajili ya kukulinda matokeo yake wewe ndo unailinda, mbwa yuko kwenye kundi la silaha na kwa wenzetu Rottweilers tayari wametajwa kama mbwa hatari. Na ukishaona umeanza kushindwa kumcontrol na bado unamhitaji tumia muzzles
View attachment 1629058
mziki unakuja nani wa kumvalisha muzzles na nani wakumtoa,bado ntihani iko pale pale

ukiinama nchale ukisimama nchale yani kama huwezi fuga hii kitu ni kuachana nayo tu hamna namna
 
Wana jamvi niwasalimu kwanza, na moja kwa moja niende kwenye mada.

Asubuhi ya leo nimepokea taarifa toka kwa rafiki yangu mmoja aliyeko Dar akitaka kufahamu kwa nini mbwa jamii ya Rottwieler hugeuka na kushambulia wamiliki na kufikia kuwaua. Hii ni kutokana na ukweli kwamba usiku wa kuamkia leo mbwa aina tajwa hapo wamemshambulia mpaka kumuua kijana mtunza bustani ambaye ndo alikuwa akiwatunza na kuwapa chakula.

PAMOJA na kuhitaji kupata ushauri tayari alikuwa ameconclude kuwa Rottweiler siyo mbwa wa kufugwa kitu ambacho mimi na kikataa kutoka na kwamba nimekuwa nikifuga jamii ya mbwa kwa miaka kadhaa, na hata ninapoandika bandiko hili ninao wanne, majike wawili na madume wawili.

JE, NI KWELI KWAMBA ROTTWEILLER NI HATARI SANA?
Jibu ni ndiyo, huyu mbwa anashikilia nafasi ya pili duniani hii ni kwa mjibu wa jarida la K-9 Dog day ya tarehe 26 August 2020, mbwa huyu anaguvu ya kung'ata ( PSI Pound per Square Inch or Pound-force per Square Inch 328 akiwa anakamata nafasi ya 12 dunia. Pamoja na hizo sifa hapo juu mbwa huyu bado kwangu ni mbwa rafiki endapo utakuwa naye karibu na kuonyesha unamjali sana, ( Kifupi ana wivu mnoooo ikiwa ulikuwa umezoea kucheza naye lakini ukabadilika na kuamishia mapenzi kwa kitu kingine kama paka, ng'ombe, mbuzi na hata mtoto Rottweiler anatabia ya kulipa kisasi, hata kama ni wao kwa wao ikiwa wako zaidi ya mmoja na wengine ukawa unawafungia kwenye kennel na mmoja ukamwacha free lazima huyu aliyeko free watamua tu.
Pia kama hauna muda wa kucheza nao kuwatembeza na kuwaruhusu kufanya mazoezi basi usifuge Rottweiler kwani kitakachofuata ni majonzi. Historia ya mbwa huyu inaenda mbali sana tangu zama za ufalme wa kirumi ambapo walitumika kusaidia wafugaji kuchunga mifugo na kuvuta mikokoteni. Kutokana na kuvuta mikokoteni mara nyingi mbwa hawa walivunjika mikia na ndo maana hata leo hii umekuwa kama utamaduni mara nyingi wamiliki wa hawa mbwa huwakata mikia.

NINI UFANYE KAMA UNAFUGA ROTTWEILER
Asubuhi kabla hujawaingiza bandani hakikisha unapata muda wa kuonana nayo cheza nao kidogo wafanyie groomimng, kisha waingize bandani na ikiwa unatabia ya kuwapa breakfast baada ya breakfast waache nje kwa muda ili wacheze, hakikisha una matoyi ya wao kuchezea kama vitenesi ( Napoongelea vitenesi nina maanisha vile ambavyo ni special kwa mbwa usinunue hivi vya kawaida make watatafuna na kumeza na hii inaweza kupelekea kifo. Nunua mifupa ile ya mpira wape waangaike nayo kwa muda kisha warudishe bandani.
Wafundishe utii kwa zile basic command kama ACHA, NJOO, INGIA NDANI. Tumia lugha hiyo kila siku.

KUWA NA MUDA MAALUM WA KUWAPA CHAKULA
Usiwaache na njaa muda mrefu na endapo umechelewa kuwapa chakula na ikawa tayari ni usiku kabla ya kuwafungulia jaribu kuvaa nguo walizozizoea na usijipulizie manukato. Ikiwa umewafungua banda anza na yule mkorofi zaidi akishatoka nje akiwa peke yake ni rahisi kumkontrol na hatimaye kukutambua tena. Baada ya hapo ndo ufungulie waliobaki. Endapo utawafungulia wote na ni usiku wakaona labda paka na kuanza kumfukuza ukijaribu kuwazuia wasiposikia usijaribu kuwapiga make tayari wana hasira na watakugeuka. Wazungu wanesema respect the power' Rottweiler is a loaded gun if not properly handled. Be Leader and not a boss to the breed.

Usiwaache wakuongoze bali uwaongoze ( These are dogs and they leave in packs ) wewe ndo uwe pack leader na si wao.
Usiache hawa mbwa kuhudumiwa na house boy au garderner muda wote, kama itabidi basi mfundishe namna ya kuishi na hawa mbwa.

NAWAPENDA ROTTWEILER
Kwa sababu najihisi salama zaidi kuliko mbwa mwingine yeyote, kwangu mimi wamewahi kumdhibiti mchawi saa nane usiku, na ikabidi yeye mwenyewe aombe msaada na kuonekana na kila mtu pale nyumbani usku.

UFANYE NINI
UKISHAONA MBWA WAKO WANAMSHAMBULIA MTU NDANI YA COMPOUND USITUMIE FIMBO BALI WAZUIE KWA ORDER YA MDOMO NA IKIWA HAWAKUSIKILIZI TUMIA MPIRA KUWA MWAGIA MAJI.

Nasema hivi kwa sababu huyu aliyeuliwa wamiliki na waajiri wameshindwa kumsaidia hii ni kwa sababu hawajawazoea mbwa, wameita kampuni ya ulinzi nayo ikashindwa kumwokoa mpaka polisi nao hakuweza kumwokoa mpaka walipolazimika kupiga mbwa wote wanne risasi. Lakini ikiwa hii kampuni wangejua namna ya kumwokoa mtu anayeshambuliwa na mbwa ilikuwa watume gari ya fire na siyo mobili crews ambao pamoja na bunduki zao hawakuweza kutoa msaada.
Ni maeneo gani hayo ya Dar mbwa wameua?
 
haahaahaaaa mi mwenyewe breakfast kuipata mtihani. eti nimpe mbwa. kha mambo mengine yanipite tu
Ishi unavoweza siyo unavotaka, kifupi kama huwezi hata kupata breakfast huwezi kununua huyo mbwa, kwani mdogo wa miexi miwili utahitaji laki 5 hivo si level yako
Ni maeneo gani hayo ya Dar mbwa wameua?
 
Wana jamvi niwasalimu kwanza, na moja kwa moja niende kwenye mada.

Asubuhi ya leo nimepokea taarifa toka kwa rafiki yangu mmoja aliyeko Dar akitaka kufahamu kwa nini mbwa jamii ya Rottwieler hugeuka na kushambulia wamiliki na kufikia kuwaua. Hii ni kutokana na ukweli kwamba usiku wa kuamkia leo mbwa aina tajwa hapo wamemshambulia mpaka kumuua kijana mtunza bustani ambaye ndo alikuwa akiwatunza na kuwapa chakula.

PAMOJA na kuhitaji kupata ushauri tayari alikuwa ameconclude kuwa Rottweiler siyo mbwa wa kufugwa kitu ambacho mimi na kikataa kutoka na kwamba nimekuwa nikifuga jamii ya mbwa kwa miaka kadhaa, na hata ninapoandika bandiko hili ninao wanne, majike wawili na madume wawili.

JE, NI KWELI KWAMBA ROTTWEILLER NI HATARI SANA?
Jibu ni ndiyo, huyu mbwa anashikilia nafasi ya pili duniani hii ni kwa mjibu wa jarida la K-9 Dog day ya tarehe 26 August 2020, mbwa huyu anaguvu ya kung'ata ( PSI Pound per Square Inch or Pound-force per Square Inch 328 akiwa anakamata nafasi ya 12 dunia. Pamoja na hizo sifa hapo juu mbwa huyu bado kwangu ni mbwa rafiki endapo utakuwa naye karibu na kuonyesha unamjali sana, ( Kifupi ana wivu mnoooo ikiwa ulikuwa umezoea kucheza naye lakini ukabadilika na kuamishia mapenzi kwa kitu kingine kama paka, ng'ombe, mbuzi na hata mtoto Rottweiler anatabia ya kulipa kisasi, hata kama ni wao kwa wao ikiwa wako zaidi ya mmoja na wengine ukawa unawafungia kwenye kennel na mmoja ukamwacha free lazima huyu aliyeko free watamua tu.
Pia kama hauna muda wa kucheza nao kuwatembeza na kuwaruhusu kufanya mazoezi basi usifuge Rottweiler kwani kitakachofuata ni majonzi. Historia ya mbwa huyu inaenda mbali sana tangu zama za ufalme wa kirumi ambapo walitumika kusaidia wafugaji kuchunga mifugo na kuvuta mikokoteni. Kutokana na kuvuta mikokoteni mara nyingi mbwa hawa walivunjika mikia na ndo maana hata leo hii umekuwa kama utamaduni mara nyingi wamiliki wa hawa mbwa huwakata mikia.

NINI UFANYE KAMA UNAFUGA ROTTWEILER
Asubuhi kabla hujawaingiza bandani hakikisha unapata muda wa kuonana nayo cheza nao kidogo wafanyie groomimng, kisha waingize bandani na ikiwa unatabia ya kuwapa breakfast baada ya breakfast waache nje kwa muda ili wacheze, hakikisha una matoyi ya wao kuchezea kama vitenesi ( Napoongelea vitenesi nina maanisha vile ambavyo ni special kwa mbwa usinunue hivi vya kawaida make watatafuna na kumeza na hii inaweza kupelekea kifo. Nunua mifupa ile ya mpira wape waangaike nayo kwa muda kisha warudishe bandani.
Wafundishe utii kwa zile basic command kama ACHA, NJOO, INGIA NDANI. Tumia lugha hiyo kila siku.

KUWA NA MUDA MAALUM WA KUWAPA CHAKULA
Usiwaache na njaa muda mrefu na endapo umechelewa kuwapa chakula na ikawa tayari ni usiku kabla ya kuwafungulia jaribu kuvaa nguo walizozizoea na usijipulizie manukato. Ikiwa umewafungua banda anza na yule mkorofi zaidi akishatoka nje akiwa peke yake ni rahisi kumkontrol na hatimaye kukutambua tena. Baada ya hapo ndo ufungulie waliobaki. Endapo utawafungulia wote na ni usiku wakaona labda paka na kuanza kumfukuza ukijaribu kuwazuia wasiposikia usijaribu kuwapiga make tayari wana hasira na watakugeuka. Wazungu wanesema respect the power' Rottweiler is a loaded gun if not properly handled. Be Leader and not a boss to the breed.

Usiwaache wakuongoze bali uwaongoze ( These are dogs and they leave in packs ) wewe ndo uwe pack leader na si wao.
Usiache hawa mbwa kuhudumiwa na house boy au garderner muda wote, kama itabidi basi mfundishe namna ya kuishi na hawa mbwa.

NAWAPENDA ROTTWEILER
Kwa sababu najihisi salama zaidi kuliko mbwa mwingine yeyote, kwangu mimi wamewahi kumdhibiti mchawi saa nane usiku, na ikabidi yeye mwenyewe aombe msaada na kuonekana na kila mtu pale nyumbani usku.

UFANYE NINI
UKISHAONA MBWA WAKO WANAMSHAMBULIA MTU NDANI YA COMPOUND USITUMIE FIMBO BALI WAZUIE KWA ORDER YA MDOMO NA IKIWA HAWAKUSIKILIZI TUMIA MPIRA KUWA MWAGIA MAJI.

Nasema hivi kwa sababu huyu aliyeuliwa wamiliki na waajiri wameshindwa kumsaidia hii ni kwa sababu hawajawazoea mbwa, wameita kampuni ya ulinzi nayo ikashindwa kumwokoa mpaka polisi nao hakuweza kumwokoa mpaka walipolazimika kupiga mbwa wote wanne risasi. Lakini ikiwa hii kampuni wangejua namna ya kumwokoa mtu anayeshambuliwa na mbwa ilikuwa watume gari ya fire na siyo mobili crews ambao pamoja na bunduki zao hawakuweza kutoa msaada.

Killer dog mauls owner to death then feasts on his flesh as helpless police forced to watch in horror!​

Mani Ram, a farm caretaker, had bought the dog to guard his home, but as he went to untie him, Tiger turned and violently ran at him.

According to eye witnesses, the dog didn’t stop there and went on to “maul his face and feast on the flesh from his hands and chest for more than an hour”.

Tiger-Rottweiler-and-Ram.jpg
 
Hawa mbwa ni hatari kuliko maelezo ....hili tukio lilitokea karibu kabisa na nyumbani kwangu sikulala usiku huo nilianza kusikia milio ya risasi kuanzia saa 7 mpaka saa 9 usiku ya aina mbalimbali ya bunduki nikajua ni majibishano ya risasi ya polisi na majambazi kumbe ni majirani waliojitolea kuuwa mbwa wale lakini wakashindwa mpaka pale askari maalum walipowasili ndio wakafanikiwa kuuwa wale mbwa huku kijana akiwa hoi....kila mtu alikuwa hoi na tukio hili....
 
Back
Top Bottom