Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Muwe mnaangalia na mbwa wa kufuga
Jibwa jenyewe hilo lina sura utazani bao la mwisho..
Jibwa jenyewe hilo lina sura utazani bao la mwisho..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku akiamka vibaya unarudisha namba kwa sir godiAiseee don't buy this dogs hawafundishiki Mbwa pekee mwenye akili hata ukae usafir ukae miaka 5 lakini siku ya kurudi ata vibe na wewe ni Germany Shephered kwanza hao Rotwailler wana Visasi sanaaa ukimchapa anahifadhi moyoni
Kuna watu wameyachoka maisha bila wao kujua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bongo Shepherd
View attachment 1630437
Bumpers anaharibu lakini kutoboa tairi ana jeuri iyo. Mwenye uwezo wa kutoboa tairi ni Simba na Chui, wana kucha na power ya kutoboa tairi lakini kwa mbwa hakunaKuna jamaa yangu alinunua hao viumbe watatu lakini wakamshinda, chakula alikua anawapa cha kutosha tena vile special vya supermarket lakini kila akiamka asubuhi lazma akute uharibifu haswa kwenye magari yake, mara akute wameng'oa taa, mara bampa wameitafuna, mara tairi wametobia kwa meno, mpaka akaamua kuwauza, isje kua ndio hao.
Nimecheka sana Mkuu.............Yani nifuge mbwa kwa ajili ya ulinzi alafu nimnunulie na kitenesi cha kuchezea?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka sana Mkuu.............
Khaaa! Wanini sasa hao.Kuna jirani yetu alichelewa kuwapa chakula mbwa wake wa aina hiyo, aisee alipowafungulia mbona aliikimbia nyumba! Hata hivyo haikuwa salama yake kwani siku ya pili aliporudi walimvamia kuja kuzinduka ana drip hospitalini huku hata kukaa hawezi.
Baada ya mwezi aliporuhusiwa na kurudi nyumbani aliwapiga risasi wote.
Wa ulinzi, usithubutu kuonyeshana mahaba na mpenzi wako mbele yao watakuangamiza, maana wana wivu watajua huwajali.Khaaa! Wanini sasa hao.
Aisee hao mbwa sio kabisa.Wa ulinzi, usithubutu kuonyeshana mahaba na mpenzi wako mbele yao watakuangamiza, maana wana wivu watajua huwajali.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Maaajabu haya yapo huko tu[emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji23][emoji28][emoji1787]Yani nifuge mbwa kwa ajili ya ulinzi alafu nimnunulie na kitenesi cha kuchezea?
Maana wezi wenyewe hawaji kilichobaki ni kuwapeleka kusaka kenge na sungura bobi wetu
enzi zile kanidakia sungura sana kule milimani kiding'a,ila tukrudi nyumbani linazubaa zubaaa tu
Sisi tunapambana na hawa wetu wa kienyeji, wanakula dagaa unawachanganyia na pumba za mahindi na wanakulinda poa kabisa.