mzama chumvini
JF-Expert Member
- Mar 14, 2016
- 730
- 642
Kila nikizima taa na kuingia bed! Kuna mbwa wa jiran anakuja kweny dirisha langu na kubweka kwa kuunguruma!! Nikitoka nje sion kitu na pazia nimepandisha upand! Wakongwe nin maana ya Hii Mambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mecheka saanaEdit hilo jina lako kama hataacha
nawe hili lako ni jipu..., kesho utasikia fisi anakuja kulia dirishaniMecheka saana
YOU AREKila nikizima taa na kuingia bed! Kuna mbwa wa jiran anakuja kweny dirisha langu na kubweka kwa kuunguruma!! Nikitoka nje sion kitu na pazia nimepandisha upand! Wakongwe nin maana ya Hii Mambo?
Mwaga chumvi ya mabonge chini ya dirisha huku ukinuiziaKila nikizima taa na kuingia bed! Kuna mbwa wa jiran anakuja kweny dirisha langu na kubweka kwa kuunguruma!! Nikitoka nje sion kitu na pazia nimepandisha upand! Wakongwe nin maana ya Hii Mambo?
Hivi mbwa pia hutumika katika uchawi?Mwaga chumvi ya mabonge chini ya dirisha huku ukinuizia
Mara chache sanaHivi mbwa pia hutumika katika uchawi?
Kwanini hawapendi kuwatumia?Mara chache sana
Wanachukuliwa kama najisiKwanini hawapendi kuwatumia?
Wanachukuliwa kama najisi
Hapana yule ni malighafi moja matata sanavip paka nae si najisi? mbona anatumiwa?