malamsha shao
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 215
- 79
Haijalishi maana chatu na mbwa wote wanaona usiku na mchana tena usiku ndio hatari zaidina hii haijalishi kama ni mchana ama usiku?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijalishi maana chatu na mbwa wote wanaona usiku na mchana tena usiku ndio hatari zaidina hii haijalishi kama ni mchana ama usiku?
Huu ndo ukweli zingine huwa ni porojoHizo ni Story za Vijiwe vya Kahawa, Iko hivi Mbwa hajisalimishi kwa Chatu Bali huwa wanaenda kumshangaa chatu hasa Magamba yake, na pale kama Chatu ana njaa basi hukamata mmoja, Hata nyoka wa kawaida mbwa ana tabia ya kwenda kumnusa nusa na hicho ndio kinacho tokea kwa Chatu pia.
Mbwa mwitu wao wana mafunzo ya asili wakimuoana Chatu tiyari wanajua ni adui na hawawezi enda kunusa nusa.
Kama eneo ulipo lina Chatu na una Mwmbwa siku una muona Chatu ita Mbwa wako, then angalia wanacho fanya, wataenda Direct kuanza kumnusa nusa na huwa hawajui kama yule ni adui na anaweza wameza,
Hahaaa, Isha jibiwa hapo juu, Mbwa hajui kama kama Chatu ni adui yake na yeye huwa anaenda kumnusa basi na katika maadui zake chaymtu hayumo make maadui anajua ni wanyama kama yeyeUkiacha harufu tatizo ni kwamba mboni za macho ya mbwa zikiangaliana na mboni za macho ya chatu mbwa hulegea na hawezi kuondoka, ila mtu akimrushia kitu kama jiwe na kumpiga huyo mbwa ata shtuka na kuondoa macho kwa chatu na kukimbia. Tuwe na utamaduni wa kutembelea snake park zetu tutajifunza mengi sana.
hivo vichaka ni maeneo ya watu ambao huwa wazito sana kutunza maeneo yao.Kama kuna vichaka choma moto kuzunguka eneo lako kwanza ili ufukuze wanyama hatari halafu ndio ufuge hao mbwa.
Kuhusu suala la mbwa na chatu hilo lipo mbwa huwa anajipeleka mwenyewe hata kama chatu yupo kwenye kichaka
Choma mradi hakuna nyumba wakileta vyoko waambie kulikuwa na chatuhivo vichaka ni maeneo ya watu ambao huwa wazito sana kutunza maeneo yao.
Wee jamaa acha chaiHalafu ajabu ni kwamba mbwa anamezwa huku anatingisha mkia Kwa furaha.
Mbwa na chatu wanajuwana vizuri tu,
Wala tusiingilie mipango yao.
Tuliitumia sana hii ukinusa harufu ya wali polini kimbia eneo hiloHata nyoka akijitoa magamba anatoa harufu ya wali
Hii nimeambiwa na Wakili mmoja maarufu sana.Chatu ana harufu ya nyama huwa anatoa mdomoni sasa mbwa huwa anajisogeza akidhania chatu anatapika nyama hapo ndio mwisho wake
😂Halafu ajabu ni kwamba mbwa anamezwa huku anatingisha mkia Kwa furaha.
Mbwa na chatu wanajuwana vizuri tu,
Wala tusiingilie mipango yao.
🤔Choma mradi hakuna nyumba wakileta vyoko waambie kulikuwa na chatu
Hawajisalimishi huwa wanamkazia au kumdindia chatu hata kama wanamuogopa. Mbwa wanatabia ya kuwa loyal kwa master wao.Habari za muda huu wakuu, hongereni kwa mapambano ya usiku na mchana kuendelea kuifanya nchi yetu na dunia kwa ujumla kuwa sehemu bora na salama.
Iko hivi, nina mpango wa kufuga mbwa shambani kwa sababu sio siku nyingi nitaweka mifugo mingi kiasi lakini bado hakuna uzio(fence), sasa kuna jamaa yangu kaniambia kwamba nitakachokifanya itakuwa ni kutwanga maji kwenye kinu kwani mbwa huwa wana kawaida ya kujisalimisha wenyewe kwa chatu kwa ajili ya kumezwa(kuna vichaka vingi na vikubwa maeneo yanayolizunguka shamba). Hii ina ukweli wowote?
Kama ishu ni aina ya mbwa na mafunzo ni kwamba ninafikiria kati ya boerboel, GS au Doberman pinscher na nitawagharamiamafunzo.
Ushauri wenu tafadhali [emoji120].
Kuna majani huwa yananukia hivyo. Chatu anatoaje harufu ya viazi mviringo vya kuchemza? Akiachia ushuzi au?Kuna wengine wanasemaga ukihisi harufu ya viazi kwenye kichaka basi ujue hiko kichaka kina chatu [emoji23][emoji23]
Shikamoo vijiwe vya kahawa [emoji119]
😂Kuna majani huwa yananukia hivyo. Chatu anatoaje harufu ya viazi mviringo vya kuchemza? Akiachia ushuzi au?
Mkuu fuatilia Sana video za mbwa kuliwa na chatu.Wee jamaa acha chai
Mhhhhhh..... harufu ya nyama tena?mbona hatujawahi kusikia chatu kumkamata Paka sababu paka nae ni mpenzi pia wa nyama nyama 🤔Chatu ana harufu ya nyama huwa anatoa mdomoni sasa mbwa huwa anajisogeza akidhania chatu anatapika nyama hapo ndio mwisho wake
NI KWELI KABISA, IKO HIVI..Habari za muda huu wakuu, hongereni kwa mapambano ya usiku na mchana kuendelea kuifanya nchi yetu na dunia kwa ujumla kuwa sehemu bora na salama.
Iko hivi, nina mpango wa kufuga mbwa shambani kwa sababu sio siku nyingi nitaweka mifugo mingi kiasi lakini bado hakuna uzio(fence), sasa kuna jamaa yangu kaniambia kwamba nitakachokifanya itakuwa ni kutwanga maji kwenye kinu kwani mbwa huwa wana kawaida ya kujisalimisha wenyewe kwa chatu kwa ajili ya kumezwa(kuna vichaka vingi na vikubwa maeneo yanayolizunguka shamba). Hii ina ukweli wowote?
Kama ishu ni aina ya mbwa na mafunzo ni kwamba ninafikiria kati ya boerboel, GS au Doberman pinscher na nitawagharamiamafunzo.
Ushauri wenu tafadhali [emoji120].
Chatu huwa sio tu anajisalimisha,huwa anajisalimisha huku anajua kinachoenda kutokea,maana mmbwa huwa anatoa ile sauti ndogndogo ya maumivu huku kaficha mkia,sie tuliochunga ukiona mmbwa nyuma yako anagugumia unageuka chap kukagua..mita chache unamuona chatu..basi unamuokoa kwa kumkata na panga au unamchinja huyo chatu.Habari za muda huu wakuu, hongereni kwa mapambano ya usiku na mchana kuendelea kuifanya nchi yetu na dunia kwa ujumla kuwa sehemu bora na salama.
Iko hivi, nina mpango wa kufuga mbwa shambani kwa sababu sio siku nyingi nitaweka mifugo mingi kiasi lakini bado hakuna uzio(fence), sasa kuna jamaa yangu kaniambia kwamba nitakachokifanya itakuwa ni kutwanga maji kwenye kinu kwani mbwa huwa wana kawaida ya kujisalimisha wenyewe kwa chatu kwa ajili ya kumezwa(kuna vichaka vingi na vikubwa maeneo yanayolizunguka shamba). Hii ina ukweli wowote?
Kama ishu ni aina ya mbwa na mafunzo ni kwamba ninafikiria kati ya boerboel, GS au Doberman pinscher na nitawagharamiamafunzo.
Ushauri wenu tafadhali [emoji120].