We sungusungu? A.K.A polisi jamii (PJ)Mbona hatujaliona hilo tukiwa lindoni?
Way back kipindi tupo shule ya msingi kuna mwamba alichukuaga pamba akaunasa ule ute afu akafunga kwenye fimbo akawa anatembea nayo mtaaani[emoji23][emoji23][emoji23]Kama umesoma biology basi utaelewa nini kilichoendelea hapo.
Yaani kuna jike lilimwaga uteute wa kuwavutia madume.
Sasa na menyewe kwa kunusa sio poa ndio maana yakajazana.
Ila wakianza kudinyana wakanasana hata kama uwapige mawe hawaachani wanakimbia hivyo hivyo huku wamenasana
Afu wakipandana huwa wananasiana[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Hao wapo kwenye msimu wa kupandana wanajikusanya wengii na wanakua na akili za ajabu sana. Sitasahau miaka ya nyuma kidogo nikiwa mkoani kwangu nilipokulia nilikua nafuga kondoo. Sasa bhana kwenye kuchunga nipo maeneo ya mashambani nikaona kundi la mbwa wakipandana na kukimbizana haikupita muda mbwa wale wakahamishia hisia zao kwenye kondoo wangu dah waliwakimbiza wakadaka kondoo wawili wakawang'ata miguu ya nyuma moja dume na mwingine jike alikua na mimba bahati nzuri kulikua na watu wakasaidia kupiga na kufukuza ila kondoo wangu walijiuguza kwa muda wa wiki mbili wakapona.
Kile kitu kiliniumiza roho sana nikaanza kuwasaka machimbo yao tulijikusanya wafugaji watatu mzee mmoja alikua na mshale mm panga na faza mmoja alikua na mkuki wale mbwa tuliwauwa kadhaa na yukapata msaada wa mamlaka ya mji mdogo wakapigwa risasi wakafa japo sio wote ila nilipunguza machungu....
Mbwa wakiwa msimu wa kupandana wanakua hawana akili kabisa sishangai hao waliokuja kubweka dirishani kiufupu wanamiyeyusho sana cha ajabu msimu ukiisha akili zao zinarudi timamu
Yeah,wa jukwaa la usiku wa mananeWe sungusungu? A.K.A polisi jamii (PJ)
Hiyo kawaida nilishapiga rungu pale kati mbwa dume hakuweza hata kukimbia jike nae ilikua ni milio tu kama ambulance Mungu anisamehe ila kwenye makuzi yangu wanyama wamepata tabu sana sio paka mbwa tumbili yaani kuku ndio kabisaaaa nadaka nanyonyoa manyoya alafu unamuachiaπππAfu wakipandana huwa wananasiana[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
Shida kweli aisee!!π€£π€£Watoto wa mjini bhana π
Ilikuaje mkuu ππππ???Way back kipindi tupo shule ya msingi kuna mwamba alichukuaga pamba akaunasa ule ute afu akafunga kwenye fimbo akawa anatembea nayo mtaaani[emoji23][emoji23][emoji23]
π je akiona fisiShida kweli aisee!!π€£π€£
Anakufa..π je akiona fisi
πAnakufa..
π€£π€£π€£
Mbwa watageuka maji[emoji23][emoji23]ungetoka nje afu ukasimama kati kati ya bara bara afu wakikubwekea sema MAJIIIIIII MAJIIIIIIII MAJIIIIIII wenyewe watakukimbia na kutawanyika
Umenikumbusha mbali mkuuu.Hiyo kawaida nilishapiga rungu pale kati mbwa dume hakuweza hata kukimbia jike nae ilikua ni milio tu kama ambulance Mungu anisamehe ila kwenye makuzi yangu wanyama wamepata tabu sana sio paka mbwa tumbili yaani kuku ndio kabisaaaa nadaka nanyonyoa manyoya alafu unamuachiaπππ
Wakihisi mmebeba misosi ya harusini, hawawaachi.
ahsante kwa elimHao wapo kwenye msimu wa kupandana wanajikusanya wengii na wanakua na akili za ajabu sana. Sitasahau miaka ya nyuma kidogo nikiwa mkoani kwangu nilipokulia nilikua nafuga kondoo. Sasa bhana kwenye kuchunga nipo maeneo ya mashambani nikaona kundi la mbwa wakipandana na kukimbizana haikupita muda mbwa wale wakahamishia hisia zao kwenye kondoo wangu dah waliwakimbiza wakadaka kondoo wawili wakawang'ata miguu ya nyuma moja dume na mwingine jike alikua na mimba bahati nzuri kulikua na watu wakasaidia kupiga na kufukuza ila kondoo wangu walijiuguza kwa muda wa wiki mbili wakapona.
Kile kitu kiliniumiza roho sana nikaanza kuwasaka machimbo yao tulijikusanya wafugaji watatu mzee mmoja alikua na mshale mm panga na faza mmoja alikua na mkuki wale mbwa tuliwauwa kadhaa na yukapata msaada wa mamlaka ya mji mdogo wakapigwa risasi wakafa japo sio wote ila nilipunguza machungu....
Mbwa wakiwa msimu wa kupandana wanakua hawana akili kabisa sishangai hao waliokuja kubweka dirishani kiufupu wanamiyeyusho sana cha ajabu msimu ukiisha akili zao zinarudi timamu
Majinni hayo.Heshima zenu wakuu!
Wanajamvi jana imetokea sokomoko mtaani mida ya saa 9:05 usiku kundi la mbwa linatembea huku wakibweka, wengine huenda waliachwa nyuma wakawa wanipita mmoja na wengine wawili nakumbuka kuna wengine walikuja dirishani kubweka dah!
Sijawah experience hili jambo, hivi wajuzi wa mambo inawezekana mbwa wakatembea kwa makundi na hata kufatana?
Kama umesoma biology basi utaelewa nini kilichoendelea hapo.
Yaani kuna jike lilimwaga uteute wa kuwavutia madume.
Sasa na menyewe kwa kunusa sio poa ndio maana yakajazana.
Ila wakianza kudinyana wakanasana hata kama uwapige mawe hawaachani wanakimbia hivyo hivyo huku wamenasana
Itakuwa raisi wao ni mwanamkeπππ
Hapo umekosea kidogo kupatishiaHii comment ni ya mpenda ngono
Alikuwa analitaka hili jibu tuKuna mkutano wa wanga ukifanyika hapo kitaani kwenu ,
Wanyama huona vitu visivyoonekana
ππkbsa mkuuMbwa watageuka maji[emoji23][emoji23]