Verified
Senior Member
- Apr 11, 2013
- 117
- 377
Wasalaam ndugu wana JF
Kwa almost miaka 12 iliyopita, ninaishi katika eneo ambalo inasemekana lina mauza uza japo binafsi sikuwahi kuyaona kwa macho, ingawa nishaua wanyama ambao wamekuja kiajabu ajabu mara nyingi sana kama nyoka, ndege n.k
Katika eneo langu, ninafuga Mbwa, ninao mbwa 5, walioshiba vizuri, nimeona nilete uzi huu kuwauliza wataalam wa hizi fani kwamba ni kwa jinsi gani jambo hili linawezekana.
Kwa karibia week nzima mfululizo, mbwa wangu wamekua wakibweka sana kama wameona kitu kila ifikapo saa 8:17 usiku (2:17 AM), yaani mara zote ambazo nimeshtushwa na kubweka kwa mbwa, kila nikiangalia saa ni saa nane na dakika 17 usiku, jambo hili limenifilirisha na kujiuliza, inakuwaje muda na dakika uwe ni ule ule mara zote mbwa wanapobweka kwa nguvu kama wameona kitu?
Kwa almost miaka 12 iliyopita, ninaishi katika eneo ambalo inasemekana lina mauza uza japo binafsi sikuwahi kuyaona kwa macho, ingawa nishaua wanyama ambao wamekuja kiajabu ajabu mara nyingi sana kama nyoka, ndege n.k
Katika eneo langu, ninafuga Mbwa, ninao mbwa 5, walioshiba vizuri, nimeona nilete uzi huu kuwauliza wataalam wa hizi fani kwamba ni kwa jinsi gani jambo hili linawezekana.
Kwa karibia week nzima mfululizo, mbwa wangu wamekua wakibweka sana kama wameona kitu kila ifikapo saa 8:17 usiku (2:17 AM), yaani mara zote ambazo nimeshtushwa na kubweka kwa mbwa, kila nikiangalia saa ni saa nane na dakika 17 usiku, jambo hili limenifilirisha na kujiuliza, inakuwaje muda na dakika uwe ni ule ule mara zote mbwa wanapobweka kwa nguvu kama wameona kitu?