Kwa uwelewa na aina ya mazingira ya kimaongezi tuliyokuwa nayo wakati namuuliza hili jambo, ilionesha ni kama adhana kwao pia ni wito au kumbusho la majini wazuri nao wakwaswari kama wafanyavyo binadamu. Kiufupi aliniambia kuna majini wacha Mungu na majini chukizo/mabaya, sasa kwamba wanaenda kuswari wapi nitamtafuta nimuulize mkuuDuh, mkuu kama hutojali muulize Sheikh, Je hao majini wanaenda kwenye misikiti hii hii ya wanadam au wana misikiti yao? Na kama ni hii hii ni kwa nini wasiwe na ya kwao wategemee misikiti inayojengwa na wanadam?
Fuga mbwa utajanishukuruAisee.
Wawili wote wa nn,mmoja tu anatoshaMbwa watano mbona wengi sana wote wa nini ,
Wawili tu wanatosha
chukua matongotongo ya mbwa jipake usoni utawaona wachawi live bila chengaItaje hapa
asante kwa mbinu mkuu.chukua matongotongo ya mbwa jipake usoni utawaona wachawi live bila chenga
angalizo
wachawi nao watakuona kwahiyo inabidi uwe tayari kwa lolote
[emoji120][emoji120]asante kwa mbinu mkuu.
JAMANI, AMBAYE SIYO MWOGA AJARIBU HII MBINU halafu alete mrejesho kama ni kweli
elezea na paka basiiMbwa anaona walozi vizuri tuu. Watu wengi wanaishi na Mbwa na hawajui ishara zao za ndani. Mbwa ni mlinzi,, mbwa ni alarm, mbwa ni Mnajimu wa kiasi cha juu sana, mbwa ni muonaji wa hatari zinazoonekana na sizizoinekana, mbwa anaweza kupa ishara ya mtoto alietumboni ni wa jinsia gani, mbwa anaweza kumpenda mtu na akamlinda na hatari. Mbwa anaweza kukuwindia wanyama au ukaenda nae kuwinda na akakulinda. Mbwa anakupa taarifa ya "strangers" wote waliokuja usiku kama ni walozi, kenge, nyoka na kama wamejificha ndani Mbwa atakupa taarifa mpaka walipojificha.. Jifunze kukaa na mbwa wako na ujifunze maarifa ya mbwa.
kwa ujumla napenda mbwa, na naweza kuwa nao hata 10. Ila kwa case hii ni kwamba walikua wawili tu, akazaa watoto 8 (ni rottweiler). Kati ya hao watano nilishawauza na watatu bado wapo.Mbwa watano mbona wengi sana wote wa nini ,
Wawili tu wanatosha
Ndio maana waislam hawawapendi mbwaAhundred perce mbwa wanaona vitu vingi katika ulimwengu wa roho. Mbwa wa nyumbani kwangu na wajirani huwa wanalia kwa kulalamika kila muda wa adhana ya msikitini unapofika. Nilimuuliza shekhe mmoja nguli hapa Dar mahusiano ya mbwa na adhana akaniambia wazi kuwa mbwa wanawaona majini wanaokuwa wanaenda misikitini kuswari.
Tia tongotongo za mbwa kwenye macho yako Alf pikicha kdg,Itaje hapa
Tutume kwa namba ipi ?Ata ww unaweza kuwaona .dawa yake haizidi 6000.
Hufahamu kula nyama ya mbwa au punda husababisha resistance kali kwa issue za uloziNa ndo maana yuko kwenye kundi la wanyama walinzi wanaona hata kwenye giza totoro but hawa wanaowala mbwa ni mitamaa yao tuu na ulafi wa asili
Uchafu huu, Huwezi Pata magonjwa ya macho sugu.Tia tongotongo za mbwa kwenye macho yako Alf pikicha kdg,
Utawaoba vzr
au abadili uelekeo wa kulala, miguu na kichwa?...Badilisha godoro lako.........utanishukuru baadaye........ulitaka mbwa aseme au kama sio kubweka😂😂😂!!!!!!!
Mkuu, wanyama wengi huona vitu vingi ambavyo wanadamu hawawezi kuona kutokana na muundo wa macho yao. Wanyama wengi macho yao ni compound lenses na hivyo they can perceive a lot of visible light tofauti na wanadamu ambao macho yetu si compaund lens, wajuaji wanasema we can only perceive 5% of visible light na ndiyo sababu hatuna uwezo wa kuona invisible things kama mapepo nakadhalika.....Wasalaam ndugu wana JF
Kwa almost miaka 12 iliyopita, ninaishi katika eneo ambalo inasemekana lina mauza uza japo binafsi sikuwahi kuyaona kwa macho, ingawa nishaua wanyama ambao wamekuja kiajabu ajabu mara nyingi sana kama nyoka, ndege n.k
Katika eneo langu, ninafuga Mbwa, ninao mbwa 5, walioshiba vizuri, nimeona nilete uzi huu kuwauliza wataalam wa hizi fani kwamba ni kwa jinsi gani jambo hili linawezekana.
Kwa karibia week nzima mfululizo, mbwa wangu wamekua wakibweka sana kama wameona kitu kila ifikapo saa 8:17 usiku (2:17 AM), yaani mara zote ambazo nimeshtushwa na kubweka kwa mbwa, kila nikiangalia saa ni saa nane na dakika 17 usiku, jambo hili limenifilirisha na kujiuliza, inakuwaje muda na dakika uwe ni ule ule mara zote mbwa wanapobweka kwa nguvu kama wameona kitu?