Mbwa wangu amegoma kula siku mbili sasa

Mkuu huyo atakuwa na homa (kaugua). Kuna mbwa wangu alipata shda kama hii halaf baadae akawa kipofu kabisa akafa. Haikuchukua zaid ya wiki.
 
Dog carers
Dunia hii tumetofautiana. Yaan dog unamtia maini serious?
Acheni jaman na wala msifananishe maini na vitu vya kijinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…