Mbwana Samata apewa unahodha kwenye mechi dhidi ya Napoli

Mbwana Samata apewa unahodha kwenye mechi dhidi ya Napoli

Naangalia game ya Genk v/s Naple Mbwana Samata kapewa u captain , ukiona mtu mweusi kapewa unahodha kwenye kundi la mabeberu ujue anakubalika,

hongera Captain Diego
Awafunge basi hao Waitalia
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3]

"Samatta nahodha wa Genk ligi ya mabingwa ulaya"
Magazeti ya kesho

"......Ameweka rekodi ya Mtanzania wa kwanza kuvaa kitambaa cha unahodha na kuiongoza timu yake kutoka sare na timu ngumu ya kutoka ligi kuu ya Italia"
 
Wa uswahilini mbagala apewa unahodha ulaya, [emoji23][emoji23][emoji23] magazeti ya bongo bana
 
Genk hawajai kupata striker kama Captain Diego miaka mingi sana...msimu huu uwe mwisho wamwachie aende ligi kubwa
 
Ingekuwa Mbwana ni mkenya heading zingekuwa.

"Mbwana awa muafrika wa kwanza kuiongoza timu yake kwenye ligi ya mabingwa Ulaya akiwa nahodha."
 
Kevin Oghenetega Tamaraebi Bakumo-Abraham... known as Tammy Abraham wa Chelsea .Huyu Tammy anamzidi nini captain Diego.jana TV ya France imeitaja Tanzania mara 50 ....acha wivu wa kike
muzee punguza munkhari.
 
Biashara...hata wew ungekua mfanyakazi pale huwez acha habari ya simba itakayouza nakala elfu tano ukaweka habari ya lipuli itakayouza nakala mia
Ujinga wao ni kwamba lazima waweke habari ya Simba na Yanga front page
 
Naangalia game ya Genk v/s Naple Mbwana Samata kapewa u captain , ukiona mtu mweusi kapewa unahodha kwenye kundi la mabeberu ujue anakubalika,

hongera Captain Diego


Kwanini anajiita Diego?;Diego yupi huyo?
 
Back
Top Bottom