Mbwana Samata hata angekuwa chiba, bado huwezi mfananisha na yeyote anayecheza hapa Bongo

Mbwana Samata hata angekuwa chiba, bado huwezi mfananisha na yeyote anayecheza hapa Bongo

Kwa sasa Mzize anamuacha mbali Samatta hasa kwa kile anachoweza kuchangia kwa timu ya taifa. Tumpe madaruga kinda wetu, akituliza wenge mbona atatuvusha vizuri tu.

Tukubali tukatae ila mchezaji akishakuwa mkubwa, mapenzi na upambanaji kwa timu yake ya taifa yanapungua sana na hii imetokea duniani kote. Ni wachache sana wanaopambana wakiwa timu ya taifa kwa nguvu ile ile wanayotumia wakiwa kwenye vilabu vyao.
 
Kazi na umri mkuu, Samata ni mchezaji mzuri na mwenye profile kubwa ila kwa sasa hana mchango wa manufaa kwa timu yetu ya taifa.
Nakubaliana naww, lakn kwenye huo uzee wake ntajie kjana anaemuweka samata bench hapa bongo? na pia kwann asiitwe hata akae sub? je tuna mchezaji currently anaecheza timu kubwa kuliko samata? je wazungu wajinga wanaomsajili samata timu kubwa kila uchao? na je mbna hao vjana hata kusajiliwa vitimu t vya south africa t hawasajili?
 
Kazi na umri mkuu, Samata ni mchezaji mzuri na mwenye profile kubwa ila kwa sasa hana mchango wa manufaa kwa timu yetu ya taifa.
Nakubaliana naww, lakn kwenye huo uzee wake ntajie kjana anaemuweka samata bench hapa bongo? na pia kwann asiitwe hata akae sub? je tuna mchezaji currently anaecheza timu kubwa kuliko samata? je wazungu wajinga wanaomsajili samata timu kubwa kila uchao? na je mbna hao vjana hata kusajiliwa vitimu t vya south africa t hawasajili?
 
Kazi na umri mkuu, Samata ni mchezaji mzuri na mwenye profile kubwa ila kwa sasa hana mchango wa manufaa kwa timu yetu ya taifa.
Nakubaliana naww, lakn kwenye huo uzee wake ntajie kjana anaemuweka samata bench hapa bongo? na pia kwann asiitwe hata akae sub? je tuna mchezaji currently anaecheza timu kubwa kuliko samata? je wazungu wajinga wanaomsajili samata timu kubwa kila uchao? na je mbna hao vjana hata kusajiliwa vitimu t vya south africa t hawasajili?
 
Nakubaliana naww, lakn kwenye huo uzee wake ntajie kjana anaemuweka samata bench hapa bongo? na pia kwann asiitwe hata akae sub? je tuna mchezaji currently anaecheza timu kubwa kuliko samata? je wazungu wajinga wanaomsajili samata timu kubwa kila uchao? na je mbna hao vjana hata kusajiliwa vitimu t vya south africa t hawasajili?
Kucheza ulaya sio kigezo cha kuwa bora au kujua sana, inategemea na management ya mchezaji na wengine bahati inawabeba zaidi.
 
Kucheza ulaya sio kigezo cha kuwa bora au kujua sana, inategemea na management ya mchezaji na wengine bahati inawabeba zaidi.
Sahihi kabisa. Ukishaingia circle fulani, ni rahisi kuzunguka humo humo. Samatta ameshaingia kwenye mfumo wa Ulaya kwa hiyo hawezi kukosa timu lakini siyo kwa sababu kiwango chake ni kikubwa kwa sasa. Ni sawa na Msuva alivyoingia kwenye circle ya Waarabu, hawezi kukosa timu za huko Uarabuni lakini ndiyo hivyo anakaa miezi 6 wanamtema.
 
Sahihi kabisa. Ukishaingia circle fulani, ni rahisi kuzunguka humo humo. Samatta ameshaingia kwenye mfumo wa Ulaya kwa hiyo hawezi kukosa timu lakini siyo kwa sababu kiwango chake ni kikubwa kwa sasa. Ni sawa na Msuva alivyoingia kwenye circle ya Waarabu, hawezi kukosa timu za huko Uarabuni lakini ndiyo hivyo anakaa miezi 6 wanamtema.
Kwann hao wakna wazir jr na wengne hawaingii kwenye hyo cicle unayoisema? wao wanashndwa wap?
 
Sahihi kabisa. Ukishaingia circle fulani, ni rahisi kuzunguka humo humo. Samatta ameshaingia kwenye mfumo wa Ulaya kwa hiyo hawezi kukosa timu lakini siyo kwa sababu kiwango chake ni kikubwa kwa sasa. Ni sawa na Msuva alivyoingia kwenye circle ya Waarabu, hawezi kukosa timu za huko Uarabuni lakini ndiyo hivyo anakaa miezi 6 wanamtema.
Wengi hawalijui hili hata Thomas Ulimwengu ni hivyo hivyo.

Kwa umri wa samata kwa sasa ni ngumu sana kutupa tunachotaka uwanjani, ni zamu ya chipukizi kupewa nafasi.

Swali la msingi kwa mleta mada ni kuwa tutamtegemea yeye mpaka lini? Au anadhani atacheza milele?

Ni lazima kujiandaa kupata replacement mapema hata kama mchezaji ni muhimu sana kwenye timu maana utafika muda ni lazima atafeli kutimiza malengo ya timu uwanjani. Tusisahau mpira wa miguu ni mchezo wa kutegemeana as a team.
 
Back
Top Bottom