MUNGU ajalieClub ya Livante inayokipiga kwenye ligi ya uhispalia (laliga) inaiwinda kwa udi na uvumba signature ya Mbwana Samata. https://t.co/6zUXyw3dP1:"
„Exot“ aus Tansania | Levante konkurriert mit Bundesligist um Genk-Stürmer Samatta
https://t.co/MQoyzXUbn7" [HASHTAG]#Fussball[/HASHTAG] [HASHTAG]#Transfermarkt[/HASHTAG]
NjiapandaHiyo club huwa haichezi hata Europe league tofauti na Genk. Sasa sijui ukubwa wa ligi ama nini!
ni kweli but laliga ligi kubwa atazid kuonekana sana na club zngne kubwaHiyo club huwa haichezi hata Europe league tofauti na Genk. Sasa sijui ukubwa wa ligi ama nini!
Hapo n ukubwa wa ligi tuHiyo club huwa haichezi hata Europe league tofauti na Genk. Sasa sijui ukubwa wa ligi ama nini!
Kuonekana anaonekana hata huko hasa ikizingatiwa Genk inacheza Europani kweli but laliga ligi kubwa atazid kuonekana sana na club zngne kubwa
Ila huwa inacheza na Madrid na Barcelona! Na wanazitazama club hizi ni wengi sanaHiyo club huwa haichezi hata Europe league tofauti na Genk. Sasa sijui ukubwa wa ligi ama nini!
YesNjiapanda
Akicheza La Liga atakuwa anakutana na Barcelona x2 na pia Madrid x2! Hii ni hatua kubwa sanaKuonekana anaonekana hata huko hasa ikizingatiwa Genk inacheza Europa
OK Mkuu, kuna club kama Celtic au CSKA Moscow au Dinamo zagreb ambazo huwa hazikosekani kwenye michuano ya europe. Je unaweza kukataa kuchezea Everton, Southampton au Leicester na kuchagua club hizo???Hiyo club huwa haichezi hata Europe league tofauti na Genk. Sasa sijui ukubwa wa ligi ama nini!