kishumbaz
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,183
- 1,619
Club ya Livante inayokipiga kwenye ligi ya uhispalia (laliga) inaiwinda kwa udi na uvumba signature ya Mbwana Samata. https://t.co/6zUXyw3dP1:"
„Exot“ aus Tansania | Levante konkurriert mit Bundesligist um Genk-Stürmer Samatta
https://t.co/MQoyzXUbn7"
#Fussball #Transfermarkt
======
Klabu za Levante ya nchini Hispania na CSKA Moscow ya Urusi zinawania saini ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta. Wakala wa mchezaji huyo, Jamal Kisongo amesema klabu yake ya KRC Genk iko tayari kumuachia mchezaji huyo licha ya kuwa mkataba wake haujamalizika.
„Exot“ aus Tansania | Levante konkurriert mit Bundesligist um Genk-Stürmer Samatta
https://t.co/MQoyzXUbn7"
#Fussball #Transfermarkt
======
Klabu za Levante ya nchini Hispania na CSKA Moscow ya Urusi zinawania saini ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta. Wakala wa mchezaji huyo, Jamal Kisongo amesema klabu yake ya KRC Genk iko tayari kumuachia mchezaji huyo licha ya kuwa mkataba wake haujamalizika.
Last edited by a moderator: