Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,039
- 5,560
Mshambuliaji na Nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta hali imeanza kuwa tete katika klabu yake ya KRC Genk. Hii ni kufuatia kupigwa benchi mara mbili mfululizo katika mechi za ligi.
Mechi ya kwanza ilikuwa nyumbani pale KRC Genk walipo ikalibisha Waasland Beveren, katika mechi hiyo Samatta alianzia benchi kisha dakika ya 74 akaingia.
Mechi ya pili ni hapo jana tarehe 22. RSC Anderlecht waliikalibisha KRC Genk katika uwanja wao wa nyumbani. Kama kawaida Samatta alianzia benchi Kisha kupata nafasi ya kucheza dakika ya 63. RSC Anderlecht ilishinda kwa magoli wawili kwa bila.
Nafasi ya Mbwana Samatta imechukuliwa na Mnigeria Poul Onuachu.
Je, kwa hatua ni kuonyesha kwamba kiwango cha Mbwana Samatta kimeshuka ama ni mbinu za Mwalimu?
Mechi ya kwanza ilikuwa nyumbani pale KRC Genk walipo ikalibisha Waasland Beveren, katika mechi hiyo Samatta alianzia benchi kisha dakika ya 74 akaingia.
Mechi ya pili ni hapo jana tarehe 22. RSC Anderlecht waliikalibisha KRC Genk katika uwanja wao wa nyumbani. Kama kawaida Samatta alianzia benchi Kisha kupata nafasi ya kucheza dakika ya 63. RSC Anderlecht ilishinda kwa magoli wawili kwa bila.
Nafasi ya Mbwana Samatta imechukuliwa na Mnigeria Poul Onuachu.
Je, kwa hatua ni kuonyesha kwamba kiwango cha Mbwana Samatta kimeshuka ama ni mbinu za Mwalimu?