Nadhani Serengeti Boys ikisukwa vizuri pia ikatimiziwa mahitaji yake hakika tutapata kina Samantha wengi sana. Kijana anajituma. Siri kubwa ya mafanikio unaposakata kabumbu nchi za wenzetu ni kujitumaTungekuwa na hawa wengine kama watano ndo tungekuwa na taifa stars ila kwa sasa akija stars anaingia kwenye msitu wa vila..z
Mtoa mada kaongea kwa Data, wewe unaleta hisia....Mkuu acha kabisa kumfananisha samata na pobga ama zlatan hata kama ni mtz mwenzetu, ndio Yale mambo ya kumfananisha schools, lampard and Gerrard
Yeye analeta unazi kama wa Yanga na Simba anabishana na takwimu za wenyewe UEFA wanaosimamia Europa league. Au hajui hao akina Zlatan na Pogba wanashiriki hayo mashindano lakini hawamo ktk hicho kikosi bora cha wiki? Huyo jamaa ndio hakikubali cha kwake kama bora.Mtoa mada kaongea kwa Data, wewe unaleta hisia....
Kwa 7bu Ni mtu wa imani yako!!!?Nawapongeza Samatta na Aboubakar na kuwashauri waendelee kushirikiana na wenzeo katika kufikia Malengo ya Maisha yao. Ila Aboubakari sijui ni kwa nini nimempongeza!
Nikisha kukuelewa nakurudia...Mpaka raha kwa Ally mbwana sammatta wa Tp mazembe na mzaliwa wa Congo, angekua mtz angekua na kashfa nyingi maka sasa.hahahaaaa
Weeeeee hana uwezo wa kuja BARCELONA huyo, huyo level zake ni timu ndogondogo kama Chelsea, arsenal, juventus, man Utd, Liverpool labda na kidogo Madrid....etcMcheji nyota na kaptain wa team ya Taifa,Taifa stars na mchezaji wa team ya ubeligiji ya Genk,ametajwa kwenye kikosi bora cha Europa 2016/20017 cha week. Katika orodha hiyo amewapiku kina Ibramovich,Paul Pogba na nyota wengine.
.
Je,mafanikio haya yanaweza kumpeleka M.samatha katika team kubwa zaidi hapa duniani kama vile Barcelona?
Gonga neno Moja kwa mwakilishi wetu wa soka hapa nchini.
Source: Eufa
Walaaaaaaaah! mie sina Dini aisee!. Niliishaacha kitambo hata Vitabu vyao siviamini! Lakini ninayo Imani kwamba "Mungu yupo na ataendelea kuwepo"Kwa 7bu Ni mtu wa imani yako!!!?
Hahahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]MWAFRICA ASILIA KWENYE UBORA WAKO
Ungeshamsikia anatoka na mbongo mvii [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mpaka raha kwa Ally mbwana sammatta wa Tp mazembe na mzaliwa wa Congo, angekua mtz angekua na kashfa nyingi maka sasa.hahahaaaa
Acha upotoshaji wa makusudi usije kuwa jirani maana kila kizuri cha tz chenuMpaka raha kwa Ally mbwana sammatta wa Tp mazembe na mzaliwa wa Congo, angekua mtz angekua na kashfa nyingi maka sasa.hahahaaaa
Hahaaahahaha ni mkenya angekuwa mkongo angekuwa kashajichubua zaman ananengua stejiniMpaka raha kwa Ally mbwana sammatta wa Tp mazembe na mzaliwa wa Congo, angekua mtz angekua na kashfa nyingi maka sasa.hahahaaaa
Siku Hizi mpira bongo haupewi priority ni kama hauzalish tuko busy na Team kiba na diamond kwanzaHongera yake,kinachokera lakini ni kuwa hakuna wachezaji wengine wa kibongo wanaotamani kufuata nyayo zake!