Kabisa ...Kaoa kibingwa sana huyu mwambwa....nimeipenda sana hii style yake ya kuoa.
Watoto wawili...Shukran mkuu ni kwel ndoa zetu wengi hazina mambo mengi kama zenu japo baadhi yetu wanapenda kuiga kwenu.
Hivi wakristo huwa hawaachani au ni story tu?Za waislamu hazina mbwembwe sababu zingekuwa nazo mume angefilisika hadi.afikishe wake wanne kila mmoja akimfanyia sherehe ya nguvu si atakuwa maskini.
Wakristo Ni.mke mmoja hivyo mke hufanyiwa sherehe ya uhakika.
Halafu kwa waislamu talaka nje nje mtu anaogopa kugharimia mtu ambaye Hana uhakika naye ataishi naye muda gani.
Ndoa za kiislamu za kutizamana kimachale machale kila mtu haelewi mwenzie atachomoa betri lini.
Hata makanisani wanapiga vita ndoa za mbwembwe. Inaonekana umekaririshwa mambo, wafunga ndoa za kikristu wengi tu huchukuana na kwenda kufungishwa ndoa ma Padre bila ya kuwepo mikusanyiko ya watu kama mnavyoona.Uko sahihi kabisa. Katika vitu navyoonea wivu waislam ni suala la ndoa. Harusi zao zipo simple and clear. Hakuna ujinga ujinga wa vikombwelezo visivyo na maana. NB: Hapa sinzungumzii wale waislam walioingia kwenye klabu ya ndoa zenye vikombwelezo kama wakristo.
Mbona ume panic dada?Sio hawana mbwembwe
Hela wengi hawana.Utakuwaje na mbwembwe wakati hela huna
Hawakuachana alibaki mkewe Hadi alipofarikiHivi wakristo huwa hawaachani au ni story tu?
The late Reginald Mengi hakuachana na mke wake.
Kiujumla waislamu hawana mbwembwe kabisa.Mkuu tukiacha mambo mengine mimi waislam katika mambo nayowakubali na kuwaonea wivu ni NDOA na MISIBA
Yaan hawana mbwembwe kabisa
Umepotea sana weye binti, njoo kwa mama kamchi tumwangushe mdudu it's a long weekend Mzigua90Wifi mzuri. Ndoa yao ikawe ya heri na baraka. Waongeze watoto wengine zaidi na zaidi
Vp ulitaka wabariki ndoa....Mtu anafungaje ndoa wakati walikuwa wakiishi wote na wamezaa? Aliiona aibu kuwa akisema anaomba mchango wa Kufunga ndoa watu wangemzodoa.Hamna Cha Kufunga ndoa hapo Ni umaruhuni tu.
Mazee soma uelewe. Sasa kama wanafamilia ndiyo wanataka ndoa za mbwembwe na siyo kanisa hao wanafamilia ni waumini wa dini gani? Mbona zipo hata za kiislam zinakuwa na mbwembwe? Kwa ujumla ndoa zinazokuwa na mbwembwe percent kubwa ni za kanisani, na ndiyo nilichosema hapa. Na siyo ndoa tu bali hata mazishi. Hii ni fact ambayo hwezi kuifunika na ''wanafamilia ndiyo wanataka''.Hata makanisani wanapiga vita ndoa za mbwembwe. Inaonekana umekaririshwa mambo, wafunga ndoa za kikristu wengu tu huchukuana na kwenda kufungishwa ndoa ma Padre bila ya kuwepo mikusanyiko ya watu kama mnavyoona.
Katoliki zinafungwa sana ndoa hizo. Wanaotaka ndoa zenye mbwembwe siyo makanisa bali ni wanafamilia. Usichanganye mambo.
Sasa kale kadada sijui itakuwaje maanaKwli mke wake low profile
Syo Hao magubegube wengine
Waliyoliwa samaki pande zote mbili
Ova
Acha wivu wa kingese sasa ulitaka amuoe nani?Mtu anafungaje ndoa wakati walikuwa wakiishi wote na wamezaa? Aliiona aibu kuwa akisema anaomba mchango wa Kufunga ndoa watu wangemzodoa.Hamna Cha Kufunga ndoa hapo Ni umaruhuni tu.
Za waislamu hazina mbwembwe sababu zingekuwa nazo mume angefilisika hadi.afikishe wake wanne kila mmoja akimfanyia sherehe ya nguvu si atakuwa maskini.
Wakristo Ni.mke mmoja hivyo mke hufanyiwa sherehe ya uhakika.
Halafu kwa waislamu talaka nje nje mtu anaogopa kugharimia mtu ambaye Hana uhakika naye ataishi naye muda gani.
Ndoa za kiislamu za kutizamana kimachale machale kila mtu haelewi mwenzie atachomoa betri lini.
Mchomoa betri naona umefika,ah aha ahAkitoka hapo anaenda kulala kwa Ritha [emoji40] wanaume hawas