Mbwana Samatta aonesha mafanikio yake

Mbwana Samatta aonesha mafanikio yake

picha ya lini mkuu? unamuwekea maneno mdomoni? kweli amesema hio ni gari yake 'MPYA'?
 
Kama ni lake hongera yake (tena kama lile lenyewe maana bei yake imesimama wima,sio kama yale ya kichina)
 
Vipi kama iliingia nchini muda ila kainunua recently?

Nawaza tu

Ingekuwa na namba mpya! D hivi kuna gari zipo show room ukilipia wanakuwekea namba mpya. Kama kanunua kwa mtu sio 'mpya' hata kibongobongo
 
Vipi kama iliingia nchini muda ila kainunua recently?

Nawaza tu

Tuseme leo ukipata demu mwingine kwani huwezi kujisifia kitaa kua Umepata chuma kipya?

Lakini si inawezekana huyo demu odometer imeenda sana labda ana zaidi ya miaka 15 toka aanze kuvuliwa pichu?

Nami nawaza tu pia
 
Tuseme leo ukipata demu mwingine kwani huwezi kujisifia kitaa kua Umepata chuma kipya?

Lakini si inawezekana huyo demu odometer imeenda sana labda ana zaidi ya miaka 15 toka aanze kuvuliwa pichu?

Nami nawaza tu pia

Hahaaa.....

Heshima kwako......
 
Hongera kijana endelea kuwa na bidii na ujasiri.
 
Back
Top Bottom