Mbwana Samatta arejea GENK

Mbwana Samatta arejea GENK

Vijana wa kitanzania wakishaoa uwezo unashuka awe msanii au mcheza mpira jamaa toka aoe performance yake imeshuka kabisa.
Kumbe ameshaona!!

Nitag kwenye uzi wake wa ndoa kama uliwahi kuletwa humu
 
Watanzania hatuna tunachomdai

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
hakika dogo amefanya makubwa mno
na kila kitu kwake amekifanya so far hata kama atarud bongo hatuna mchezaji mwenye mafanikio kwenye mpira wa miguu kama yeye
1. mfungaji bora Africa champion
2.mfungaji bora Belgium
3.mfungaj bora congo kwa mayele
4.mchezaji wa bora wa club Africa
5.team of the year Africa
6.uefa mtanzania wa wa kwanza
7.kucheza ligi maaruf England
8.kucheza mashindano ya taifa ya Africa
9.bingwa cong
10.bingwa super cup congo
9.bingwa wa club Africa
10.bingwa Belgium
11.belgian super cup
12.efl cup ruuner up with aston villa
11.kuipiga liverpoor goli matata

Kama mchezaji sidhan kama anadaiwa na yoyote yule katika nchi hii zaid vijana wengine wanadaiwa wafanye kama yeye ili tupige hatua zaid kwenye soka
 
Samatta kwa alipofikia hata akisema arudi leo hii huku kwetu kusini mwa jangwa la sahara na akaamua asicheze mpira afanye tu mishe zake nyingine anaishi vizuri mpaka atakapokufa yeye na ndugu zake.
 
hakika dogo amefanya makubwa mno
na kila kitu kwake amekifanya so far hata kama atarud bongo hatuna mchezaji mwenye mafanikio kwenye mpira wa miguu kama yeye
1. mfungaji bora Africa champion
2.mfungaji bora Belgium
3.mfungaj bora congo kwa mayele
4.mchezaji wa bora wa club Africa
5.team of the year Africa
6.uefa mtanzania wa wa kwanza
7.kucheza ligi maaruf England
8.kucheza mashindano ya taifa ya Africa
9.bingwa cong
10.bingwa super cup congo
9.bingwa wa club Africa
10.bingwa Belgium
11.belgian super cup
12.efl cup ruuner up with aston villa
11.kuipiga liverpoor goli matata

Kama mchezaji sidhan kama anadaiwa na yoyote yule katika nchi hii zaid vijana wengine wanadaiwa wafanye kama yeye ili tupige hatua zaid kwenye soka
Hajasaidia taifa huyu popoma,
 
Vijana wa kitanzania wakishaoa uwezo unashuka awe msanii au mcheza mpira jamaa toka aoe performance yake imeshuka kabisa.
uliposema wa "kitanzania" upo sahihi lkn wenzetu ulaya wanaoa na bdo uwanjani wana perform vzur tu, mesi na ronaldo ni mifano hai
 
#MICHEZO Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amerejea tena katika klabu iliyompa mafanikio barani Ulaya, KRC Genk kwa mkopo wenye kipengele cha kumnunua moja kwa moja akitokea Fenerbahce ya Uturuki.

Samatta aliitumikia Genk katika michezo 191 na kufunga mabao 76 huku akishinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Ubelgiji na kufanikiwa kucheza makundi ya Klabu Bingwa Ulaya.

#Samagoal #MbwanaSamatta #EastAfricaTVView attachment 2325468
Samahan kocha wa Genk ni yuleyule au??
 
Aston villa ilikuwa sehemu sahihi kulitangaza taifa lakini sikujua kwa nini aliondoka au walimtema na alikuwa anacheza vizuri au alirogwa na wazee wa mbagala rangi tatu?
 
Back
Top Bottom