Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,363
Teh teh teh soka sijui yuko wapi hivi sasa maana walikua wote mbagala
hongera sana bwana Ally Samatta,the pride of Mbagala.alienda wapi Yusuph Soka?
Dogo alipata matatizo sweden..wakala alimuingiza chaka
Anahamia lini rasmi?
Soka alikamatwa sweden na UNGA alipoenda kwenye majaribioyusuph soka ni kipaji kilichopotea aisee,namkumbuka coca cola karume alkuwa vizuri mno
Soka alikamatwa sweden na UNGA alipoenda kwenye majaribio
Nmeliona hili muda si mrefu baada ya kumgoogleNilihofia kutamka hili...ahsante
Nmeliona hili muda si mrefu baada ya kumgoogle
Mie nalijua hili vzr ila nikaona nikae kimya..nikaishia kusema alipata matatizo baada ya wakala wake kumuingiza chaka
Umetisha sana...
hawa ni wale genk ambao wamefuzu mtoano UEFA? kama ndio ni bonge la timu na big up aliemshauri aende hapo maana akikaza kidogo tu anaingia ligi kubwa.
Nilihofia kutamka hili...ahsante
Wale wanaitwa Gent
Kutokana na mtandaoni, kila napoandika RKC Genk, Genk Fc inakuja timu moja tu, hivyo ndo hiyo! Utakavyoamua kuiita, haiyaa!