Mbwana Samatta asaini rasmi Genk ya Ubelgiji


Mkuu nimekusoma. sina cha kuongeza.

Nimekubali kushindwa mpaka nitakapofanya kupitia vyanzo vyangu.
 
unaonekana kufurahia sana kuflop kwa hashim,tatizo nin?
Kuna Watu ndio wako hivyo.

Hawapendi maendeleo ya wenzao.

Na waanapenda sana wanapoona yule aliefanikiwa kuporomoka.

Wivu kitu kibaya sana.

Hakuna kingine ni wivu tu
 
Anatupeperushia Bendera, hayo mengine hayatuhusu.

Hivi hamuwezi kumpongeza Ndugu yetu na kufurahia maendeleo yake?

Hamuoni kuwa hii ni hatua kubwa Kimataifa!

Hamjui kuwa anaitangaza na kuipa heshima nchi yetu
Hivi samata anaumri gani?ukiacha wa kufoji.

sio chini ya miaka 26
Haipendezi...

Chokochoko hazifai...

Kisha baadae tuje kutafuta Mchawi...

Tumpongeze wetu mchezaji...

Samata wa kwetu mwenye uwezo na kipaji...

Neno moja tu mpe Pongezi...

Sema hongera, hongera Kiongozi...

Samata, aling'ara, anang'ara, na atazidi kung'ara Genk...
 
Naona leo KRC Genk wanacheza na Sandard de Liege
Sijui kijana wetu Samatta atacheza?!
 
Bado anahangaikia vibali vya kufanya kazi belgam
Nafikiri jumamosi tutamuona kwenye mechi ya league ya belgam
 
Taarfa nilizozipata amefanikiwa kupata vibali hivyo
 
Nahisi hata mechi ijayo anaweza kukosa, mpaka afanye mazoezi na wenzake awazoee labda
Mazoezi na wenzake ashafanya nao Mara mbili hiyo ni nnje ya mazoezi yake binafsi ya kuzoea hali ya hewa ya belgam kucheza haina haraka sana kwa kua ligi ya belgam iko katikati hivi sasa
 
Polepole aonyeshe juhudi akitokea bechi atapata namba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…