Mbwana Samatta asaini rasmi Genk ya Ubelgiji

Mbwana Samatta asaini rasmi Genk ya Ubelgiji

Nilijua utasema hivyo lakini hauko sahihi. Flexibility ambayo uke unayo uko vile vile. Unajua ile njia ya kufanya abortion ambapo wanatumia vyuma? Unataka kutuambia mwanamke was namna hiyo yukoje? Wewe unataka kumaanisha kwamba hasheem ana maumbile makubwa name kwamba jokate kwa kutembea nae basi uke wake umekua mpana? Are you realistic?? It beggers belief you could have such kind of feelings. Hapo haupo sahihi kabisa kaka you are completely wrong. Halafu hata kwa mfano ingekua ni kweli unajua uke una tabia ile ile kama wakati was kujifua hutanuka name kusinyaa kuruhusu kinachopita kipite tena huweka uterezi au ute kurainisha kuta kufanikisha kipitacho kipite. Ni nani alikwambia uke huwa name tabia hii kwa mtoto tu kupita name sio kwa uume (penis) pia? Ni nani alikudanganya kuwa upana wa uke hutegemea size ya uume mkubwa zaidi kuwahi kupita kwake? Kwa maana hiyo unataka kutumbia kwamba upana wa kipenyo cha uke unareflect size ya mboo zilizowahi kupita? Are you serious? Unajua mwanamke asipotembea na mwanaume siku nyingi say six months uke wake hurudi na kua mdogo sana kiasi kwamba ukija tembea nae unaweza shangaa analalamika na ukimuuliza anakwambia ana muda mrefu hajahamiiana? Usilazimishe ubishi kaka labda tungekua na physician Hapa angekuelewesha vizuri

Mkuu nimekusoma. sina cha kuongeza.

Nimekubali kushindwa mpaka nitakapofanya kupitia vyanzo vyangu.
 
unaonekana kufurahia sana kuflop kwa hashim,tatizo nin?
Kuna Watu ndio wako hivyo.

Hawapendi maendeleo ya wenzao.

Na waanapenda sana wanapoona yule aliefanikiwa kuporomoka.

Wivu kitu kibaya sana.

Hakuna kingine ni wivu tu
 
Anatupeperushia Bendera, hayo mengine hayatuhusu.

Hivi hamuwezi kumpongeza Ndugu yetu na kufurahia maendeleo yake?

Hamuoni kuwa hii ni hatua kubwa Kimataifa!

Hamjui kuwa anaitangaza na kuipa heshima nchi yetu
Hivi samata anaumri gani?ukiacha wa kufoji.

sio chini ya miaka 26
Haipendezi...

Chokochoko hazifai...

Kisha baadae tuje kutafuta Mchawi...

Tumpongeze wetu mchezaji...

Samata wa kwetu mwenye uwezo na kipaji...

Neno moja tu mpe Pongezi...

Sema hongera, hongera Kiongozi...

Samata, aling'ara, anang'ara, na atazidi kung'ara Genk...
 
Naona leo KRC Genk wanacheza na Sandard de Liege
Sijui kijana wetu Samatta atacheza?!
 
Bado anahangaikia vibali vya kufanya kazi belgam
Nafikiri jumamosi tutamuona kwenye mechi ya league ya belgam
 
Nahisi hata mechi ijayo anaweza kukosa, mpaka afanye mazoezi na wenzake awazoee labda
Mazoezi na wenzake ashafanya nao Mara mbili hiyo ni nnje ya mazoezi yake binafsi ya kuzoea hali ya hewa ya belgam kucheza haina haraka sana kwa kua ligi ya belgam iko katikati hivi sasa
 
Polepole aonyeshe juhudi akitokea bechi atapata namba.
 
Back
Top Bottom