Mbwana Samatta asaini rasmi Genk ya Ubelgiji

Mbwana Samatta asaini rasmi Genk ya Ubelgiji

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,379
Mshambuliaji wa TP Mazembe atajiunga na KRC GENK ya Ubelgiji baada ya timu hiyo kumnunua kwa yuro milioni 2.5 sawa na karibu billion 6 za Kitanzania

SIMBA pia itanufaika na mauzo hayo kwa kuwa kwenye mkataba kiliwekwa kifungu.

=======
UPDATE:

RASMI: Samatta kasaini mkataba na kupokelewa.

Mbwana Aly Samatta has signed a four-and-a-half year deal with Belgian side K.R.C Genk.

The Tanzanian striker joins the Belgian side after Genk agreed a deal with TP Mazembe for the striker who they monitored for some time.

The 23-year old striker has impressed for TP Mazembe this year as he led them to a fifth CAF Champions League title while scoring eight goals for the Congolese side.

Due to his impressive form, Samatta was chosen as the best African-based player in 2015 for his great year with the Ravens.

Samatta has joined TP Mazembe in 2011 and has since scored 20 goals in 40 matches in the CAF Champions League while also scoring 7 goals in 18 matches for the Tanzanian national team.

Genk currently sit 6th in the Belgian Pro League with 32 points and could surely use Samatta’s goal scoring to bolster their chances in the league.

Source: Genk Official Facebook page - Jan 29, 2016

5641c12edb2c94c45df1b0153e9f1571.jpg

2.jpg
 
Duu safi sanaa atalipwa shilling ngap kwa wiki/mwez/mwaka kama mshahara?
 
Mshambuliaji wa tp mazembe atajiunga na KRC GENK ya ubelgiji baada ya timu hiyo kumnunua kwa yuro milioni 2.5 sawa na karibu billion 6 za kitanzani

SIMBA pia itanufaika na mauzo hayo kwa kua kwenye mkataba kiliwekwa kifungu

Dau nono kwa kuanzia
 
hawa ni wale genk ambao wamefuzu mtoano UEFA? kama ndio ni bonge la timu na big up aliemshauri aende hapo maana akikaza kidogo tu anaingia ligi kubwa.
 
Vizuri kwake, akapambane sana ili atoe mwanga kwa wengine.

Asiwe kama jamaa yake Jokate ameflop NBA kabisa.

teh teh teh teh Jamaa alikuwa anaona dili kuwapiga mitama akina TID na kushindana kutumia pesa na akina Mike Kimei..

Kaishia kumnunulia mamake Range Rover na kumfungulia mdogo wake Studio ambayo haifanyi lolote la maana hapa mjini..

Samatta ana discipline sana, hata alivyokuwa TP Mazembe alikuwa analipwa vizuri lakini hakuwa na mbwembwe wala majivuno, I hope soon tutamwona La Liga au EPL.. Cha msingi akikutana na timu za huko kwenye CL azikamie kwelikweli mpaka azitungue magoli... All the Best SAMATTA..
 
Habari njema kwa sisi wadau wa mchezo wa football.hongera sana Mbwana kaza buti usonge.
 
teh teh teh teh Jamaa alikuwa anaona dili kuwapiga mitama akina TID na kushindana kutumia pesa na akina Mike Kimei..

Kaishia kumnunulia mamake Range Rover na kumfungulia mdogo wake Studio ambayo haifanyi lolote la maana hapa mjini..

Samatta ana discipline sana, hata alivyokuwa TP Mazembe alikuwa analipwa vizuri lakini hakuwa na mbwembwe wala majivuno, I hope soon tutamwona La Liga au EPL.. Cha msingi akikutana na timu za huko kwenye CL azikamie kwelikweli mpaka azitungue magoli... All the Best SAMATTA..

Baada ya kuflop hata akija Bongo ni kimya kimya na anaondoka kimya kimya.
 
Baada ya kuflop hata akija Bongo ni kimya kimya na anaondoka kimya kimya.

Nasikia majuzi alikuwa Arusha alafu akasepa kimya kimya teh teh teh

Ebu soma hapa, nimecheka mpaka basi aisee "

[h=3]Philadelphia 76ers[/h] On August 26, 2014, Thabeet was traded to the Philadelphia 76ers in exchange for a trade exception and a 2015 protected second round draft pick.[SUP][15][/SUP][SUP][16][/SUP] On September 1, 2014, he was waived by the 76ers.[SUP][17][/SUP]
[h=3]Detroit Pistons[/h] On September 25, 2014, Thabeet signed with the Detroit Pistons.[SUP][18][/SUP] However, he was later waived by the Pistons on October 20, 2014.[SUP][19]"[/SUP]
 
Nasikia majuzi alikuwa Arusha alafu akasepa kimya kimya teh teh teh

Ebu soma hapa, nimecheka mpaka basi aisee "

[h=3]Philadelphia 76ers[/h] On August 26, 2014, Thabeet was traded to the Philadelphia 76ers in exchange for a trade exception and a 2015 protected second round draft pick.[SUP][15][/SUP][SUP][16][/SUP] On September 1, 2014, he was waived by the 76ers.[SUP][17][/SUP]
[h=3]Detroit Pistons[/h] On September 25, 2014, Thabeet signed with the Detroit Pistons.[SUP][18][/SUP] However, he was later waived by the Pistons on October 20, 2014.[SUP][19]"[/SUP]

Naikumbuka hii story, baada ya hapa ndo alienda D-League nadhani inaitwa Grand Rapids.

Angeenda zake China tu.
 
Back
Top Bottom