Mbwana Samatta awachoka Watanzania wakorofi mtandaoni, awataka kuacha maneno ya kashfa

Nini kunyimwa pasi hata kama ni mchezaji mzuri,club haitavumilia udhalilishaji huo wanaweza mtoa kwa mkopo au kumpiga benchi bila sababu za msingi
Duh! Wanaweza kusababisha jamaa ahujumiwe na wachezaji wenzake, anyimwe hizo pasi kabisa.
 
Mmewasahau watanzania ni watu wenye mhemko...au mmeshasahau?bila tiba kamili mambo huwa hayaendi
 
Mpoki kamshauri aachane na mitandao vinginevyo hatafika anapotaka fika

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo sio yeye, yaani yeye mnaweza mkamtukana mnavyotaka ila sasa mnawatukana wachezaji wenzake kisa hawakumpa pasi. Mtawafanya wajawe na visasi na kuanza kumhujumu au timu impumzishe muda wote maana haujui hao wachezaji wengine wanachukulia vipi matusi.

 
😂😂😂😂nimecheka mpak machoz apo alipo Sema "TENA NYAMAZA KABISA " 😂😂😂kwel hii ndio bongo
 
Sijawah kuona wakenya wamejazana na maneno ya kijinga page ya Spurs hata page ya Simba sijawah kuona Wanyarwanda wanaongelea Kagere the same kwa Liverpool sijaona Senegalese sijui hii nchi ilitokana na kizazi cha nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
With All Due Respect, Mashabiki wengi wa soka hapa Bongo ni Wapumbavu.
Kwa kuongezea ni malimbukeni na washamba Sana , Samata yupo nchi za watu ambao wapo well educated, na amejua ni Kwa jins gan watanzania wanaonyesha ushamba wa Hali ya juu...
Wanamuaibisha na anaonekana very localy
 
Watanzania wengi mambumbu sana.
Sio siri tunamuaibisha jamaa.
 
Mzee akili zetu tunazijua wenyewe, nahisi yule mtume aliyese enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga bora angesema enyi watanzania msio na akili ni nani aliyewaroga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…