Mbwana Samatta awachoka Watanzania wakorofi mtandaoni, awataka kuacha maneno ya kashfa

Ukiingia kwenye page ya facebook ya aston villa yaani wewe unayesoma ndio unaona aibu! Kiswahili chenyewe cha xaxa,ww, yaani hata google translate haina msaada.
 
Kuna shida mahali sio buree
 
Yan matusi ya kibongo yanauma kinoma sijajua ni lugha au nn kinafanya mtu aumie endapo ukitukanwa ! Bongo nyoso Bongo noma
Baba akooo [emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mikwara inaendelea aisee samatta ana kazi kubwa
 
Kwa kifupi mashabiki wengi wa soka hapa bongo ndio hawo wa Simba na yanga na akili zao ndio hizo za usimba na uyanga ss hizo akili zao ndio wanazipeleka huko aston Villa aise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…