kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,899
Acha kuwangaMmemaliza?
Mbwana Samata yupo huko aliko kwa juhudi zake. Hajaenda kumuwakilisha yeyote kati yenu, niwakumbushe kuwa sio Olympic ile. Arsenal sio Simba koko kiasi mtu akifunga goli moja kwa miezi mitatu tu basi anatupiwa jezi akakipige Emirates