Mbwana Samatta azidi kung'ara Ubelgiji

Mmemaliza?

Mbwana Samata yupo huko aliko kwa juhudi zake. Hajaenda kumuwakilisha yeyote kati yenu, niwakumbushe kuwa sio Olympic ile. Arsenal sio Simba koko kiasi mtu akifunga goli moja kwa miezi mitatu tu basi anatupiwa jezi akakipige Emirates
Acha kuwanga
 
Jana kapiga goli zuri sana huyu jamaa katuwakilisha vizuri sana ulaya, ni bora hata Wenger akafikiria kumchukua
mkuu, Samatta yuko vizuri sana ila akienda ASENOO atapoteza kiwango...namshauri aende CHELSEA, The Blues. umeona eeh?
 
Mmemaliza?

Mbwana Samata yupo huko aliko kwa juhudi zake. Hajaenda kumuwakilisha yeyote kati yenu, niwakumbushe kuwa sio Olympic ile. Arsenal sio Simba koko kiasi mtu akifunga goli moja kwa miezi mitatu tu basi anatupiwa jezi akakipige Emirates
Umemaliza kila kitu mkuu.
Kwenye draft inaitwa heko!!

Sie tuendelee kula mikurupuko ya Rapa jpm.
 
Ila nashukuru kuona samata anazidi kuonesha uwezo hata akitokea benchi.. Watamuelewa tu..
Nataman angekua yupo EPL
 
Mungu Baba, bariki miguu ya mtanzania huyu, Baba miguu ya huyu ifunge magoli zaidi, itembee maili za mbali zaidi ya Belgium, nyota yake ing'ae mpk kwa Prof. Arsene Wenger ama Zidane!

Wote semeni Amiin.

AMiN???
 
Mmemaliza?

Mbwana Samata yupo huko aliko kwa juhudi zake. Hajaenda kumuwakilisha yeyote kati yenu, niwakumbushe kuwa sio Olympic ile. Arsenal sio Simba koko kiasi mtu akifunga goli moja kwa miezi mitatu tu basi anatupiwa jezi akakipige Emirates
Bangi mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…