nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
kama kawaida mwana mbagala katupia dakika ya 84 ila kama kawaida ya ujinga wa defence ya genk goal likasawazishwa dakika ya 90 lakini bado wanaongoza ligi
Samatta kafikisha goals 8 yupo kwenye kundi la wanaoongoza kwa magoli
Samatta kafikisha goals 8 yupo kwenye kundi la wanaoongoza kwa magoli