Mbwana Samatta: Nina wazo kwanini Dar isibadilishwe jina ikaitwa Kolomije

Yupo sahihi mkuu katimiza haki yake kikatiba
Wakati ninyi mnafurukutia huku na Majina Feki. Hebu muacheni kijana wa watu he is so humble wacha aendelee na Soka yake. I am sure ahta hiyo account si yake!
 
Lakini bahati mbaya na yeye mwenyewe kuandika hajui. Sijui anawezaje kusoma mikataba anayosainishwa.

"Isibadirishwe"!
Wewe ndo unajua kuandika?Jichunguze kama huoni basis kumbuka hata nyani haoni kundu yake!
 
mfano wa watanzania wenye roho mbaya, chuki na uzandiki, wamo katika uzi huu!
 
dunia imebadilika
 
Kwani yeye sio mtanzania ipo siku atarudi kukaa huku mwacheni atoe nyongo wengi tumechefukwa[emoji36][emoji57]
 
Lakini bahati mbaya na yeye mwenyewe kuandika hajui. Sijui anawezaje kusoma mikataba anayosainishwa.

"Isibadirishwe"!
Wewe aliyesoma unajua kusoma na kuandika tuwekee mafanikio yako hayo ambayo ni zaidi ya Samatta.
 
Sababu ya kipuuzi sana,kama kazamilia kuwekeza watabana lakini wataachia tu,msitake watu waishi kipuuzi tu bila kuchangia mambo yanayoendelea nchini.
 
mbwana achana na siasa mkuu.. bora uje kwenye mapenzi huku tukuchune huku ukifaidi kitumbua ... wanasiasa si watu wema kabisa
Mkuu alishasema hakuna kupangiana,,mwache na yeye afanye yake,kwanza samata ana moyo sana ,ningekuwa mm hata uraia ningeukana
 
sawa
Sababu ya kipuuzi sana,kama kazamilia kuwekeza watabana lakini wataachia tu,msitake watu waishi kipuuzi tu bila kuchangia mambo yanayoendelea nchini.
Sawa Mkuu,things aren't very simple like that.
 
Hiyo itakuwa ni kuifananisha Dar na kijiji kinachotoa vihiyo,which is unacceptable.In fact it is tantamount to cursing Dar kwamba effective now Dar iwe kiwanda cha vihiyo.Would you like that?I hope not. Halafu itakuwa sawa na kum-reward Daudi Bashite,jambo ambalo nobody in his right mind would like to do.
 
Naye ni mtanzania ana haki kikatiba kuongea na kusikilizwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…