KoromijeDar ikiitwa kolomije na kolomije nayo itaitwaje..!?[emoji86]
ha aahaha utamkana na mama na baba yako pia ujueMkuu alishasema hakuna kupangiana,,mwache na yeye afanye yake,kwanza samata ana moyo sana ,ningekuwa mm hata uraia ningeukana
KweliAs long as nae ni Mtanzania ruksa kutoa maoni. Mbona kuna wauza duka mtaani wamechagua upande na husemi kitu? Au ni nani mwenye haki ya kuongelea kinachoendelea hapa nchini? Kama atachukiwa basi sababu itakuwa ni wao wenyewe wameamua na sio mtazamo wake. Au unafikiri Diamond kuchagua upande wa Ccm hajawaumiza wanaUKAWA?
Nina wasiwasi na umri wako, elimu ayko na uelewa wako wa ulimwengu wa kibiashara huria. Myu asie mwerevu akiniita mjinga mimi sirudishi tusi bali namjibu kwa busara kama hivi ninavyokujibu hapo chini soma vizuri uelewe ujifunze:
Mbwana Samatta alipofikia ni kama Entity ya kibiashara, anahitaji kila aina ya support toka kwa kila mtu na kila taasisi. Mbwana anaweza kuja kuwekeza kibiashara hapa nyumbani TZ hasa DSM, huku anahitaji ardhi,leseni za kibiashara, na kusajiri kampuni na kuhitaji endorsement ya serikali na ya taasisi binafsi kama za kanisa la Gwajima na Clouds FM. Atahitaji hizo leseni na ardhi toka serikalini na atatakiwa alipe kodi serikalini. unadhani atakuwa na mazingira rafiki ya kibiashara kama ataingia utata(kuchukiwa) na wenye dhamana huko serikalini wale ambao wako nyuma ya Makonda? Hata akifungua academy ya michezo au hospital kama wenzake akina Kanu, Adebayor, Etoo na Drogba anahitaji usajiri/vibali vya serikali. hawezi kuingiza container la vifaa vya biashara zake au academy bila kufanya tax clearance serikalini na hukomhujui nani yupo nyuma ya Bashite. Haya machache lakini yapo mengi wengine watakuja kuchangia. unafikiri kwanini IPP media hawashabikii sana hizi habari za Bashite? Unafikiri hawataki kuuza sana magazeti yao au wanampenda sana Bashite? je wewe una akili sana ya Biashara kuliko Mzee Mengi na washauri wake? Au Mzee Bhakresa? au Mo? Umemuona Manji au umemuona Mbowe na yanayowakuta unayajua? Sio lazima ukosoe kila kitu bila tafakari!! Kuna mengine yamewazidi upeo wenu wa kufikri na uelewa kuhusu biashara na kufanya vuta na Jamii au media au na Kaisari mwenye dola.
halafu kuandika na kusoma ni vitu viwili tofauti
Mwambieni dogo acheze mpira.
Ni chuki au mapenzi ya dhati aliyonayo kwa KoromijeKijana acheze soka, apotezee kabisa story za laana za bongo. Asijiingize ktk chuki na kundi lolote.
Kumbe wasaini mikataba ya Tz hawajui kuandika, ndio maana wanasaini madudu!Lakini bahati mbaya na yeye mwenyewe kuandika hajui. Sijui anawezaje kusoma mikataba anayosainishwa.
"Isibadirishwe"!
Una assume sijui historia ya Ronaldo.
Ronaldo anajua kuandika angalau.
Halafu Ronaldo anatoka dunia ya kwanza, mtu ambae hajaenda chuo dunia ya kwanza anakuwa na uelewa na upeo mkubwa kuliko mtu wa third world wa darasa la saba kwa sababu ya exposure.
Na hususan mtu wa dunia ya tatu ambae hajui kuandika.
Wivu unawasumbua..yaani stress zao za kimaisha wanahamishia huku..Stress zenu za maisha msimtulie kijana wa watu, kwanza uzi wa zamani sijui kwann umefufuliwa pia jamaa kaongea kiutani tu shida iko wapi.
Wabongo muda wote sura zao zimekunja ndita sijui kwanini.
Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
Ze Domo mbona hamusemi kama anashusha status yake kuwa upande wa Mkoromijee?Ni kweli ila kwa status aliyoijenga hapa tz angelaa kimya ingependeza zaidi.
Kiongozi mbona kama umepani hivi.Stress zenu za maisha msimtulie kijana wa watu, kwanza uzi wa zamani sijui kwann umefufuliwa pia jamaa kaongea kiutani tu shida iko wapi.
Wabongo muda wote sura zao zimekunja ndita sijui kwanini.
Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
.
Wabongo muda wote sura zao zimekunja ndita sijui kwanini.
Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
Mshaanza roho mbaya wabongo Kama kawaida yenu