Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Kaajiri Management na mwanasheriaLakini bahati mbaya na yeye mwenyewe kuandika hajui. Sijui anawezaje kusoma mikataba anayosainishwa.
"Isibadirishwe"!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaajiri Management na mwanasheriaLakini bahati mbaya na yeye mwenyewe kuandika hajui. Sijui anawezaje kusoma mikataba anayosainishwa.
"Isibadirishwe"!
Ni kweli ila kwa status aliyoijenga hapa tz angelaa kimya ingependeza zaidi.Yupo sahihi mkuu katimiza haki yake kikatiba
DARDar ikiitwa kolomije na kolomije nayo itaitwaje..!?[emoji86]
Kazopata kazozenga..Lakini bahati mbaya na yeye mwenyewe kuandika hajui. Sijui anawezaje kusoma mikataba anayosainishwa.
"Isibadirishwe"!
Mkuu tafsiri ya hayo maneno hapo tafadhalDAR
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
Ukifikiria kimtaani taani na ki-Yanga na simba hutaona umuhimu wa yeye kukwepa kujinasibu na upande wowote wa hili jambo. Nikipata muda nitakuja kukufafanulia kwanini afuate ushauri wangu na najua ni wa wengi tu bali mimi nimewahi kuusema hapa.As long as nae ni Mtanzania ruksa kutoa maoni. Mbona kuna wauza duka mtaani wamechagua upande na husemi kitu? Au ni nani mwenye haki ya kuongelea kinachoendelea hapa nchini? Kama atachukiwa basi sababu itakuwa ni wao wenyewe wameamua na sio mtazamo wake. Au unafikiri Diamond kuchagua upande wa Ccm hajawaumiza wanaUKAWA?
Wewe ndo msimamizi wake au wewe ndo mke wake!?Lakini bahati mbaya na yeye mwenyewe kuandika hajui. Sijui anawezaje kusoma mikataba anayosainishwa.
"Isibadirishwe"!
Mshaanza roho mbaya wabongo Kama kawaida yenu
Angekuwa anachezea simba au yanga sawa angejiharibia.. Huko ulaya anajiharibia kwa lipi?Kijana akianza kuingiza siasa atajiharibia status aliyo nayo sasa!!
Kwani wewe hujui kuwa Genk ni ya Bashite na Magufuli!?Angekuwa anachezea simba au yanga sawa angejiharibia.. Huko ulaya anajiharibia kwa lipi?
Au mtaenda kumzomea huko Belgium??hahaha
Mbwana Samatta alipofikia ni kama Entity ya kibiashara, anahitaji kila aina ya support toka kwa kila mtu na kila taasisi. Mbwana anaweza kuja kuwekeza kibiashara hapa nyumbani TZ hasa DSM, huku anahitaji ardhi,leseni za kibiashara, na kusajiri kampuni na kuhitaji endorsement ya serikali na ya taasisi binafsi kama za kanisa la Gwajima na Clouds FM. Atahitaji hizo leseni na ardhi toka serikalini na atatakiwa alipe kodi serikalini. unadhani atakuwa na mazingira rafiki ya kibiashara kama ataingia utata(kuchukiwa) na wenye dhamana huko serikalini wale ambao wako nyuma ya Makonda? Hata akifungua academy ya michezo au hospital kama wenzake akina Kanu, Adebayor, Etoo na Drogba anahitaji usajiri/vibali vya serikali. Hawezi kuingiza container la vifaa vya biashara zake au academy bila kufanya tax clearance serikalini na huko hujui nani yupo nyuma ya Bashite. Haya machache lakini yapo mengi wengine watakuja kuchangia. unafikiri kwanini IPP media hawashabikii sana hizi habari za Bashite? Unafikiri hawataki kuuza sana magazeti yao au wanampenda sana Bashite? je wewe una akili sana ya Biashara kuliko Mzee Mengi na washauri wake? Au Mzee Bhakresa? au Mo? Umemuona Manji au umemuona Mbowe na yanayowakuta unayajua? Sio lazima ukosoe kila kitu bila tafakari!! Kuna mengine yamewazidi upeo wenu wa kufikri na uelewa kuhusu biashara na kufanya vitu na Jamii au media au na Kaisari mwenye dola.Msilete mambo yenu ya uteam nani wenu, Ana haki ya kuandika kama mtanzania yeyote yule,na pia mumpende team fulani mumchukie hamtakuwa nyie mnaotia kamba pale Genk.....acheni kuwatisha watu wasitoe mawazo yao kifua kiwe huru.
As long as nae ni Mtanzania ruksa kutoa maoni. Mbona kuna wauza duka mtaani wamechagua upande na husemi kitu? Au ni nani mwenye haki ya kuongelea kinachoendelea hapa nchini? Kama atachukiwa basi sababu itakuwa ni wao wenyewe wameamua na sio mtazamo wake. Au unafikiri Diamond kuchagua upande wa Ccm hajawaumiza wanaUKAWA?
Kwa hiyo haruhusiwi kutoa maoni yake kuhusu Bashite na kijiji cha KolomijeKijana akianza kuingiza siasa atajiharibia status aliyo nayo sasa!!
BashtDar ikiitwa kolomije na kolomije nayo itaitwaje..!?[emoji86]
Mkataba mbwembwe tu muhimu madolari ambayo anayapata.Lakini bahati mbaya na yeye mwenyewe kuandika hajui. Sijui anawezaje kusoma mikataba anayosainishwa.
"Isibadirishwe"!