Huyu dogo Mbwana Sanmatta a.k.Samagoli timu yake anayoichezea imempandisha chati kweli,lakini stars imevunjia soko, jana mliona madalali majkwaani wanaangalia wachezaji walishindwa kuamini kama anaweza kucheza ulaya. Ndiyo maana mastar timu za taifa wanazikwepa, hapa na maana mastar wa Afrika, timu zao za taifa huzichezea kwa basi tu,sababu zenyewe ndiyo hizo./