Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

kazi yake ni kufunga mabao na anayafunga haswaa.. Kama unaujua mpira vyema mastriker wazuri wengi hawana madoido mengi na aina ya uchezaji pia hutofautiana.. unawakumbuka akina van nisterloy.. inzaghi n.k ndo kama Samatta
 
Samatta ni aina ya forward wanao itwa fox in the box.... yeye kazi yake ni kufungana moja kati ya sifa kubwa kwa forwad mi uwezo wa kufunga kwa kutumia kichwa vile vile na miguuu... sasa uki kuta anae piga na set pieces tayari uyo ni case maalumu.... nashangaa kuona usawa una kaba namna hii mpaka watu mna anza kumbeza samagoal
 
Mkuu unataka kusema huyo BAHATI kaenda nae SAMATA HADI huko ULAYA? BAHATI nae KING'ANG'ANIZI SANA,,kumbeba SAMATA sio jambo LA kitoto..
 
Msamehe. Hajui Mahitaji ya soka la kisasa!
 
Lukaku anafunga magoli ya ufundi?... Mwisho wa siku kinachotakiwa ni magoli...haijalishi hata kama yamefungwa kwa mkono au kiuno
Yule fala tu,anakosa magoli meeengii afu kwenye mechi muhimu.
Hawezi ata kupunguza mabeki.Jana kaniboa kichizi anasubiri mpaka mpira udunde[emoji37][emoji37]
 
Lakini mimi siamini katika bahati, bali katika struggle, nahisi samamagoli anastruggle kwa level zake. Unafikiri watamfikishia ujumbe
 
Tofauti ya Lukaku na Samatta ni kwamba, Lukaku anafunga magoli mazuri na ya kiufundi na pia anakosa magol magoli mepesi...Samatta yeye anafunga magoli mepesi yasiyo na ufundi
Huwezi eleweka kwa mburula hawa tz
 
Hicho unachokitaka wewe aifanye ili umuone anajua hakiwezi, anachokifanya ndicho anachokiweza.
Hatuwezi kuwa sawa. Hata kama hupendi mpira wake haisaidii kitu chochote.
Go goooooooooo goooooooooo Samatta, umeendelea kutuwakilisha vyema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…