Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

Hata sijui kwanini nimeitizama hii match goal zote hizi jamani kanchi kadogo
mazoezi yenyewe wanafanyia kwenye kibaraza cha mtu lakini kametukung'unta 3 kwa ubuyu
Aaaaaah tushagongwaaaaaaa
 
Ndiyo hizo tatu ndege yenu ya kukodi
Beki zilipwaya, viungo katikati vilipwaya, + uwanja nyasi bandia na hili kocha msaidizi kama sijakosea alilisema jana, kwamba huenda uwanja ukaathiri mchezo...
 
Hao mashabiki anawakuna kwa kufunga magoli, inaonekana umejaa chuki dhidi yake kwahiyo hata afanye nini hawez kukukuna mana hata hiyo ngozi huna
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hana ngozi tena
 
Bahati bila kujituma na kuwa na malengo huwezi fanikiwa mkuu,Boban alikuwa na kipaji akafika ulaya akarudi baada ya kumiss Bangi,Ngasa Kendrick walimfuata hapahapa bongo ili wamsajili kwa dau nono Yanga wakamficha ili asiondoke
 
Hata mwaikimba alikuwa anafungwa,Welbek hufunga pia.Kuanzia nakuwa Mkenya.
 
Tatzio sio kocha wala samatta. Taifa stars haina wachezaji wazalendo wenye vipaji halisi
Kipaji anamaanisha nini? Kichuya hana kipaji,Fei toto hana kipaji,Yondani wala Beno Kakolanya ,Ajibu hawana vipaji? Nashauri utengue kauli
 
Hawana wanabebwa tu na mboyoyo za mitandaoni na magazetini. Kama wana vipaji wazibebe timu zao kimataifa kwanza kabla ya kulalamika kuchaguliwa Taifa stars.
Kipaji anamaanisha nini? Kichuya hana kipaji,Fei toto hana kipaji,Yondani wala Beno Kakolanya ,Ajibu hawana vipaji? Nashauri utengue kauli
 
Vipaji wanavyo tena vya hali ya juu,kuliko hata wachezaji wengi wa Ulaya .Tatizo ni makocha wakuwa rekebisha baadhi ya mambo na wao kujitambua kama professionals.Makocha wanashindwa hata kupanga vikosi.Lingine ni background.
 
Tatzio sio kocha wala samatta. Taifa stars haina wachezaji wazalendo wenye vipaji halisi
Nyie ndio wale watu wanasemaga bila goti lile lilikua goli......hivyo vipaji halisi na uzalendo unavyozungumzia ni vipi...
 
Yeye kazi yake ni kufunga tu pale,hayo ya mbwembwe na madoido waachie viungo kina Pozuelo,Trossard na Malinovsky.

Eti bahati,hivi unajua ana goli ngapi mpaka sasa Jupiter League na ngapi Europa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…